Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Tetesi za Matokeo ya NECTA kidato cha nne 2012 [Kabla Hayajatoka]

Status
Not open for further replies.
nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza
Ahsante, bado tnakusubiri.
 
Habari njema kutoka Ukurasa wa necta ni kwamba zoezi la kuingiza matokeo limekamilika na wanajitahidi ili watangaze leo.
 
Nilisikia kuwa muhula wa kuingia form 5 unabadilika hivyo kuchelewesha matokeo,haya ngoja tusubiri tuone.
Nadhani watatoa mapema kama kawaida kwa sababu matokeo ya O LEVEL si lazima uende A LEVEL kuna watu wataenda mambo ya afya na vyuo mbalimbali so yakiwa tayari yatatoka.
 
Dr ndalichako ajiuzulu

Kwa sababu ipi na kwa shinikizo la nani?.Yeye hafundishi kama ni suala la kufundisha na kufaulu muuluzi mzee wa Bagamoyo na Zimbabwe na Tanganyika.Big up Dr Ndalichako for unquestionable integrity and ethics.
 
Kweli kma yanatoka leo sbanduko himu labda umeme tu ukate 😀😀
 
nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza

Endelea kutujuza mkuuuu......Big up St. Marry Goreth...
 
nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza
Invisible na mods wengine kama hii taarifa si ya kweli apigwe ban

haiwezekani mtu alete habari ya uwongo inayosomwa na
guest zaidi 1,500 halafu wapeleke mtaani wameiona JF
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom