tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,854
- 1,129
Presha ya nini tena,hukiamini ulichokuwa ukiandika katika Exam room?
vilaza kazi yao ni kusubiri miujiza, kitu ambacho hakiwezekani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Presha ya nini tena,hukiamini ulichokuwa ukiandika katika Exam room?
mkuu unamiliki shule??
Ahsante, bado tnakusubiri.nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza
Nadhani watatoa mapema kama kawaida kwa sababu matokeo ya O LEVEL si lazima uende A LEVEL kuna watu wataenda mambo ya afya na vyuo mbalimbali so yakiwa tayari yatatoka.Nilisikia kuwa muhula wa kuingia form 5 unabadilika hivyo kuchelewesha matokeo,haya ngoja tusubiri tuone.
kwa hiyo ozonolysis katulisha sumumzumbe ajamaliza ulapi
Dr ndalichako ajiuzulu
kupitia page ya facebook ya necta,wamesema wanatoa leo muda wowote hivo wa kusoma mvute subira kidogo,mvune mlichopanda
Kweli kma yanatoka leo sbanduko himu labda umeme tu ukate 😀😀
nipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza
karibu JF, humu hatuandiki kwa vifupisho kama facebook au kwenye simu,mbn mnae press ivo wot mmeitim 4 nn!
Invisible na mods wengine kama hii taarifa si ya kweli apigwe bannipo hapa katika ukumbi na katibu ndo anatueleza hayo matokeo so nimeamua kuwapasha japo kidogo,asilimia 50.02 ya watahiniwa wamefaulu,shule za binafsi zang'ara na za vipaji maalumu..top ten ina shule za St.francis,Marian,Feza boys,st.Joseph Millenium,Abbey,St.Mary Goreth,Kandoto girls,Mzumbe,kibaha,Ilboru na wanafunzi bora ni Mary A . ndona(st.francis),rebecca nsingwe(marian),Joseph Ulapi(Mzumbe),Ismail Kandeya(Arusha day),Martin kaimbo(kibaha)..ntazid kuwajuza