Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
 
Toka lini katili akapewa tuzo ?...

Kama tu alishindwa kupata tuzo ya Forbes asahau kabisa mpaka anatoka madarakani..

Wazungu uwa hawana mchezo na mtu anayechezea democracy na Uhuru wa kujieleza...

Kwanza tuzo ya nini ? Ya kubadili uchumi wa watu kutoka milo miwili hadi mlo mmoja pengine hamna kabisa?..
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Lisura lake libaya huna haja ya kujisumbua kuliharibu.
Liroho ndio balaa zaidi.
 
Tuwaulize masalia ya mamvi na boss mwenyewe maana hawa inawezekana kabisa.
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini

yuko kimataifa, mbona hajakwenda?? tangia awe rais?
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Hivi we mleta mada ukiwa kada ndio akili zako zinafungwa kabisa?

Hebu jitahidi kua mtu huru, unazidi kuonekana mtu wa hovyo sana wewe.

Tangu asubuhi mada zako zote za kipuuzi puuzi tu.

Ukikipenda chama flani basi jitahidi kuficha mahaba yako.

Mada yako ya asubuhi ni hii[emoji116][emoji116][emoji116]

Tetesi: - Proof waliompiga Risasi Tundu Lisu sio watu wa system.. Big No



Amini usiamini, ukihitimu shule ndio utaanza masomo.
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Labda Kiingereza kinakusumbua.
Aljazeera walisema MBUNGE WA UPINZANI NA MKOSOAJI WA RAIS MAGUFULI AMEPIGWA RISAS.
Sasa hapo wamemuhusisha vipi rais?

May Allah bless Me and You
 
We jamaa ulie anzisha uzi huu... Unahukakika habari zilifika nje kabla ya hapa TZ... Usikulupuke do simple research uje upya... No data no right to talk..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini

hitler na idi amini dada kweli walitaka mpa tunzo ya upishi bora
 
Kweli UONGOZ mgumu.
Kuna mambo ukijua kama yatatokea basi inakupada uwe MPOLE SANA.
Leo zigo la [emoji90] linamwangukia,hata kama hahusiki ila ndo hivyo,
Familia yake naamini inaposoma stori hizi mitandaoni inajihisi vibaya.
RiziWani mwaka huu alisema kwamba alikuwa akijiskia vibaya baba yake anaposemwa.


May Allah bless Me and You
 
Back
Top Bottom