Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Huyu jamaa leo ana shida kubwa sana. Nitafute nikupe counseling ndugu kwani wehu unakunyemelea kwa kasi.
Hoja zako zote za leo ni butu na upo kinafiki zaidi. Au wewe ni mamluki uliyeamua kuichafua ccm na viongozi wake maana hizi hoja zipo kisanii sana. Balozi hatoi tuzo bali makundi ya kijamii yanayohusika na shughuli fulani ya kijamii ndio huhusika kutoa zawadi kwa watu wanaosimamia shughuli yao pale inapoleta matokeo chanya yaliyokusudiwa na kuwanufaisha walengwa kwa kipindi chote.
Unafiki wako upo wazi mno kwani unajichanganya sana. Meza panadol upumzike!
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Asee mbona unaandika upu.mbavu?Hizi ajira za kujuana ndizo zimeleta watu wasio fikiri na matokeo yake mmekosa mbinu za kiinteligensia kufanya kazi zenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baadhi ya sisi watanzania bwana,kwenye uongo tunasema uongo na kwenye ukweli bado tunathubutu kusema uongo tuu
 
Kuna haja ya kuangalia aina ya watu wa kuposti nyuzi za kimkakati..wengine wanaharibu
Inaonekana leo kiranja wao wa uongo anajisikia kuumwa kwa kusikia Lisu jana kaongea. Sasa hyu jamaa yeye ana jipostia maujinga ujinga anavyo jisikia

RISASI ZA NINI TENA JAMANI!
 
Ukiwa madarakani ukikandamiza democracy na uhuru wa kujieleza na kuikalia kimabavu miimili mingine hasa bunge na mahakama sahau kabisa tuzo hata ufanye nini huwezi kupata hizo tuzo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Rubbish.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume ni akili, punguza toratiiiii

Sent from my Priceless H40-D00 Bombadier
 
Tusipokuwa makini TZ itarudi zama zile:
1. Za biashara za magendo kwani hata ukitumiwa kalamu ya tshs 5 unapigwa kodi ya Tshs 2000.
2. Tutaanza kushuhudia wezi wakirudia kuvunja nyumba kuiba TV, Radio na simu.
3. Biashara haramu za hela kushamiri.
4. Fedha nyingi kufichwa majumbani kuliko bank
5. Watu kuwa na hela lakini wakose bidhaa kwani wafanyabiashara wengi watashindwa kuziendesha na pia wanaoleta vitu kutoka nje wataacha kabisa kutokana na Kodi zisizoeleweka.
6. Uhujumu uchumi utafufuka kwa nguvu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Kundi x ndio Kina nani? Au watu wasiojulikana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tukumbuke ya libya jamani atutaki Tz tufike uko.binafsi navutiwa sana na arakati za chama pinzani katika kuikosoa serikali, japo serikali ya jpm inaonakana miongoni mwa wa Tz wengi inapinga vikali arakati za upinzani!tukio la TL kwa Watanzania walio wengi wanaweza kulihusisha na mambo ambayo serikali imekua ikiyafanya kwa upinzani juu ya yote ayo JPM ni raisi ambae mwenye msimamo mkali kwa masilahi ya taifa ambao unapelekea miongoni mwa watanzania wengi kumuona ni DIkteta lkn bila kumbuka juhud zake katika kupigania rasmali za watanzania kuliko viongozi wote wa Tz Waliopita hii uenda ikapelekea Mataifa ya ulaya kuchukizwa na harakati zake na kutafuta mbinu za kuaribu juhudi yake ambayo zingeweza kulibadilsha taifa la Tz swala la madini kama almasi Tanzanite,makinikia,ni swala zito sana ambalo mataifa ya ulaya ya yanajipatia faida kubwa kupitia sisi kwa nini mataifa ayo yasifanye chochote ili indelee kutula sisi WaTanzania !tafakari kabla ya kumnyoshea kidole mtu yoyote yule kwenye swala hili la Tundu lissu
Libya walikuwa na maisha mazuri mpaka income support walikuwa wanapata sasa sisi lini tulikuwa na hayo maisha mpaka tuwe na wasiwasi? Hapa tulipo tangu aingie afadhali ya jana kama kulikuwa tunapata milo2 sasa hivi 1au siku nyingine unauita kavu. Sasa tukimtoa tuna hasara gani? Libya was wake kila hasara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani mleta mada ni mwanafunzi wa darasa la tatu? Hata kuandika maneno kwa usahihi hawezi sembuse mpangilio wa maneno wenye mantiki ili kuzifanya sentensi zake zieleweke. Hili ni zigo la misumari.
 
Back
Top Bottom