Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Binafsi akipata tuzo yoyote ya kimataifa nitashangaa, sio kwa kujifungia huku.
 
Kwani mleta mada ni mwanafunzi wa darasa la tatu? Hata kuandika maneno kwa usahihi hawezi sembuse mpangilio wa maneno wenye mantiki ili kuzifanya sentensi zake zieleweke. Hili ni zigo la misumari.
Ni tatizo la ubongo wake tu, nilipokuwa darasa la tatu nilikuwa naandika vizuri tu.
 
Dikteta uchwara apewe tuzo ya kimataifa kwa lipi!? Chuki, vitisho, visasi vya kutisha, kukurupuka na kuropoka pumba KAMWE hakuwezi kusababisha jumuiya ya kimataifa impe huyu fisadi, muongo na mwizi tuzo. Upumbavu wako peleka lumumba kwa wapumbavu wenzio.

Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
 
Tukusaidie vipi sasa while u have chosen stupidity as ur guide
Hakuna stupid zaidi yako, we kwa Akili yako serikali inawezaje kufanya tukio kama hilo katika kipindi hiki hiki ambacho Tundu alikuwa analumbana nayo? Hakuna hata siku moja system ifanye kitu cha kijinga namna hiyo, wabaya wa nchi ndio walipoona kila siku anajisema kuwa anafuatwa ndio wakaona hapo hapo watume loop hole hiyo hiyo kumdhuru, kama walitaka kufanya kweli mbona hawakumpiga kichwani?
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Unatsfuta ukuuu wa wilaya au ukatibu tawala mkuu???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Yaani mngekaa kimya ingesaidia angalau kufikii tofauti lakin kwa jinsi mna weweseka na post mpya zenye visa vipya kila siku ndio mnapo tia shaka.
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini



Ila umesahau kuwa barua ya ccm ya kutoa pole kwa Lissu iliandaliwa tangu tarehe 7 August mwezi mmoja kabla ya Lissu kushambuliwa, I think this will help to enhance your understandings
 
Kweli UONGOZ mgumu.
Kuna mambo ukijua kama yatatokea basi inakupada uwe MPOLE SANA.
Leo zigo la [emoji90] linamwangukia,hata kama hahusiki ila ndo hivyo,
Familia yake naamini inaposoma stori hizi mitandaoni inajihisi vibaya.
RiziWani mwaka huu alisema kwamba alikuwa akijiskia vibaya baba yake anaposemwa.


May Allah bless Me and You
Kweli wana macho lkn hawaoni na wana masikio lkn hawasikii!Hivi mtu kumiminiwa risasi 32 kwa bunduki aina ya smg hata kama mevaa bullet proof utabaki?
Huu ni muujiza wa Mungu pekee ulio mwezesha Mh Lissu kuokoka ktk hili!
Kwa kiumbe chochote kinacho mfahamu au kuwahi kumsikia Lissu kwenye utetezi wake kwa wanyonge wa taifa hili,tukio hili ni USHAHIDI tosha kuwa Mungu yuko pamoja na Lissu na ana mpango mkubwa kwa Tanzania kupitia kwa Lissu!!!!!!
Sijui kwenye historia kama kuna mtu aliwahi kumiminiwa risasi nyingi hivi na akanusurika kifo cha papo hapo!
TUZIDI KUMWOMBEA MUNGU AMRUDISHE KWENYE KAZI YAKE KUTIMIZA MAKUSUDI YAKE!
 
Nyie si mnasema watu Wa mataifa mengine wakiingilia jambo la hapa haliwezi kuleta madhara hata kidogo? Sasa Leo unatuletea kelele hapa jukwaani za nini???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
These semi illiterates know nothing than the small food for their big stomach that is why they don't stop ass liking. uppuzi kabisa
.
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
msaliti nambamoja ni ccm wametawala kwa miaka 55 hakuna lolote walilofanya la maana zaidi ya ufukara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole kwakukesha kusafisha mavi yanayonuka.

Mchafu hasafishiki.


Labda atapewa tuzo ya kiongozi mjinga kuliko wote duniani hata mi nitaunga mkono.
Hii sijaipenda kabisa.Nikushauri ufanye heshima kwa kiongozi.
 
Haihitaji hata elim ya kiwango cha darasa la saba kuweza kuhisi kuna mkono wa JPM ktk suala LA Lissu.
 
YOUR A$$ MUST GET JEALOUS OF ALL THE SHIT THAT COMES OUT OF YOUR MOUTH
mwisho wa kunukuu
 
Back
Top Bottom