Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Masaa nane yalio pita umeendika ,Watu wa system hawaja mpiga LT,then aftr 5hrs una andika hili,nasubir la mara ya tatu.
 
Mfalme yuko kama furushi la mavi habebeki, ukilibeba hujalitua kwa uzito wake utalitua kwa harufu yake
 
Wanawaua wazungu wenu wanaowatumikisha kama punda huku nyie hamjitambui. Mkija kugundua conspiracies zao it will be too late.

Sent using Jamii Forums mobile app
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua.

Mfalme Suleiman alimpa mtoto mamaye baada ya yule mama aliyelalia mwanae akafa kufurahia pendekezo la kumcharanga yule mtoto aliyekuwa akigombewa.

Kamwambieni bosi wenu!
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Si mnasema Lissu ndo msaliti? Na kwa bandiko lako Lissu wakati anapigwa risasi alikuwa anchukua video clips akatuma Al Jaazira,siyo? You guys are smart....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani leo umepanga kuanzisha thread ngapi za hivi Tumaini?
Kuna kikao jana kilifanyika vijana wakapewa posho ajenda ilikuwa wapambane mitandaoni kuzima tukio la Tundu lisu na kuhusishwa na serekali

Propaganda tatu walipewa wazifanyie kazi kwanza lionekane ni chadema wanahusika na sababu iwe uongozi

Pili ni lionekane ni wateja wa Lisu wamemjeuka coz ya kesi zao haswa wale wa madini

Tatu ni chuki za kifamilia coz jamaa anamgogoro na familia yake

Watu wamevuta mpunga subirini newz zitakavyojaa JF na Facebook

Zoezi hili litachukua mwezi mzima coz malipo ndio yalivyoelekeza
 
Hakuna stupid zaidi yako, we kwa Akili yako serikali inawezaje kufanya tukio kama hilo katika kipindi hiki hiki ambacho Tundu alikuwa analumbana nayo? Hakuna hata siku moja system ifanye kitu cha kijinga namna hiyo, wabaya wa nchi ndio walipoona kila siku anajisema kuwa anafuatwa ndio wakaona hapo hapo watume loop hole hiyo hiyo kumdhuru, kama walitaka kufanya kweli mbona hawakumpiga kichwani?
Wewe unamuona huyo kiongozi wako anaakili? Bingwa wa kuropoka when has ever been right ? Ukweli ni kwamba mmefeli na president lissu is coming to tell the tale " this life you can be anything sjui kwanini ccm wamechagua stupidity
 
Hakuna stupid zaidi yako, we kwa Akili yako serikali inawezaje kufanya tukio kama hilo katika kipindi hiki hiki ambacho Tundu alikuwa analumbana nayo? Hakuna hata siku moja system ifanye kitu cha kijinga namna hiyo, wabaya wa nchi ndio walipoona kila siku anajisema kuwa anafuatwa ndio wakaona hapo hapo watume loop hole hiyo hiyo kumdhuru, kama walitaka kufanya kweli mbona hawakumpiga kichwani?
Wewe ndo mjinga Lissu amepelekwa polisi na mahakamani mara ngapi ??
Kwenye tinted utaonaje kichwa??
Mungu hakutaka kiumbe wake afe!!
Mission failed!!
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
msaliti ni serikali kutomkamata asiyejulikana kwa zaidi ya mwaka.Serikali imara haiwezi kuwa na tabaka la watu wasiojulikana ambao wanatengeneza nguvu kubwa kuichafua nchi yetu.
 
Hili jukwaa limevamiwa na maGT uchwara,sasa hii nayo ni hoja au viroja?
 
Tuzo.kwa kipi hasa alichofanya yote hayo.muyaonayo.ni mwendelezo.mkakati.wa yule.mkwere
 
Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
kwani ni uongo kabwana mkubwa c ni suspect number one PAMOJA NA SERIKALI YAKE kwa tukio la TAL
 
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Ase?? Kweli Duniani kuna watu na Vitu! Watu na Wanyama. Nadhani wengine hawafikii level au Grade ya Binadamu wao huishia kuwa wanyama kama wanyama wengine hasa Upstars
 
ELIMU NI KITU MUHIMU SANA SEMA WATU HAWAJUI TU JAMBO HILI

"TumainiEl, post: 23347258, member: 20912"]Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..

Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...

Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu

Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..

Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali

Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...

Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
 
Back
Top Bottom