Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fumbo mfumbie mjinga mwerevu hung'amua.Wanawaua wazungu wenu wanaowatumikisha kama punda huku nyie hamjitambui. Mkija kugundua conspiracies zao it will be too late.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio maana kakwambia ufikiri kwa kutumia ubongo wako na sio kiungo kingineWe jamaa ulie anzisha uzi huu... Unahukakika habari zilifika nje kabla ya hapa TZ... Usikulupuke do simple research uje upya... No data no right to talk..
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mnasema Lissu ndo msaliti? Na kwa bandiko lako Lissu wakati anapigwa risasi alikuwa anchukua video clips akatuma Al Jaazira,siyo? You guys are smart....Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Kuna kikao jana kilifanyika vijana wakapewa posho ajenda ilikuwa wapambane mitandaoni kuzima tukio la Tundu lisu na kuhusishwa na serekaliKwani leo umepanga kuanzisha thread ngapi za hivi Tumaini?
Wewe unamuona huyo kiongozi wako anaakili? Bingwa wa kuropoka when has ever been right ? Ukweli ni kwamba mmefeli na president lissu is coming to tell the tale " this life you can be anything sjui kwanini ccm wamechagua stupidityHakuna stupid zaidi yako, we kwa Akili yako serikali inawezaje kufanya tukio kama hilo katika kipindi hiki hiki ambacho Tundu alikuwa analumbana nayo? Hakuna hata siku moja system ifanye kitu cha kijinga namna hiyo, wabaya wa nchi ndio walipoona kila siku anajisema kuwa anafuatwa ndio wakaona hapo hapo watume loop hole hiyo hiyo kumdhuru, kama walitaka kufanya kweli mbona hawakumpiga kichwani?
Elim yetu majanga.Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
i
Wewe ndo mjinga Lissu amepelekwa polisi na mahakamani mara ngapi ??Hakuna stupid zaidi yako, we kwa Akili yako serikali inawezaje kufanya tukio kama hilo katika kipindi hiki hiki ambacho Tundu alikuwa analumbana nayo? Hakuna hata siku moja system ifanye kitu cha kijinga namna hiyo, wabaya wa nchi ndio walipoona kila siku anajisema kuwa anafuatwa ndio wakaona hapo hapo watume loop hole hiyo hiyo kumdhuru, kama walitaka kufanya kweli mbona hawakumpiga kichwani?
msaliti ni serikali kutomkamata asiyejulikana kwa zaidi ya mwaka.Serikali imara haiwezi kuwa na tabaka la watu wasiojulikana ambao wanatengeneza nguvu kubwa kuichafua nchi yetu.Ukipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Lisura lake libaya huna haja ya kujisumbua kuliharibu.
Liroho ndio balaa zaidi.
Huyo mkewe ana hofu muda wote!Hatafuti mchumba, ana mke tayari!!
kwani ni uongo kabwana mkubwa c ni suspect number one PAMOJA NA SERIKALI YAKE kwa tukio la TALUkipenda kufuwatilia mambo ya dunia utajuwa mambo mazito usio yajuwa na kama ulifikiri umafia ulikuwa italia na nchi zingine basi juwa umafia unaweza kufanywa hata hapa taifa letu tusiamini..
Siku chache baada ya balozi wa China kusema Mh Magufuli ndio habari ya dunia. Kundi fulanix lili jianda kufanya kituko kitakacho mchafuwa mh rais wetu.. Dunia nzima na kumfanya aonekane yeye ni Rais gaidi...
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Lisu walitaka apelekwa nairobi kisa awahamini uduma zetu lakini ni dr wa dodoma waliokoa maisha yake..
Aljazeera na baloz za nje walipata taarifa za ya tukio hilo nakuihusisha na serikali
Yote haya nikumuharibia sura yakimataifa rais wetu...
Je nani ni msaliti wa taifa letu na nikwamasilah yanini
Muda mchache tu baada ya lisu kupigwa risasi video ilifika nje before hata sisi wa bongo hatujajuwa kiukweli hili nalo lichunguzwe othewise tujuwe taif aletu tuna safari ndefu
Tukusaidie vipi sasa while u have chosen stupidity as ur guide