tanga kwetu
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 2,193
- 1,437
acha kuongea na sisi, ongea naye aache UNAA. Kikwete, Mwinyi, Mkapa wanakula pensheni yao kwa starehe ila huyu maisha baada ya urais yatakuwa ya tabu sana. Aliowaumiza, aliowaua, aliowajeruhi kwa kiburi na ujeuri wake ni wengi kuliko aliowasaidia