Tetesi: Tetesi Za Rais Magufuli kupata tuzo zakimataifa zachafuliwa na team X

Binafsi nakushauri uende shule kwanza. Hujafanikiwa kujua kusoma na kuandika vizuri. Kifupi umekosa sifa ya kuchangia chochote kwenye Jukwaa kama hili.
 
Thread ya nne asubuhi hii. Bila shaka utakuwa kuna kitu kinakusumbua. Halafu hakuna hata moja basi inayoeleweka. Unaishia kutaja wengine wasaliti, utafikiri wazalendo ni hao unaowatetea.
Mtu anaewabomolesha wa Dar, na kusema wa Mwanza wasibomoleshwe kisa walimpa kura ndio mzalendo. Mwl Julius K. Nyerere angemsulubu huyu. Hafai hata kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…