Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Leo kafuta post zake Zote kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Usafini Kuna nini jamani? Kufuta post kunaashira dogo anataka kuanza upya au Anatakata kukabidhi akaunt yako kama ilivyo kawaida kwa Wcb kuwanyanganya akaunt zao zote wasanii wake pindi wanapojitoa kwenye label.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usafini Kuna nini jamani? Kufuta post kunaashira dogo anataka kuanza upya au Anatakata kukabidhi akaunt yako kama ilivyo kawaida kwa Wcb kuwanyanganya akaunt zao zote wasanii wake pindi wanapojitoa kwenye label.
Sent using Jamii Forums mobile app