Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUNA TOFAUTI KATI YA CHALLENGE NA ROHO MBAYA, HUWEZI MUITA MWENZIO DOMO BILA SABABU ZA MSINGI, HUO NI UCHAWI KAMA UCHAWI MWINGINEAkitoka tu team domo wote wataombea afe kisanii au kiuhalisia kabisa. Hawa watu hawapendi challenge kabisaaa
Nasubir kuona km n kweliKama hii habari ni ya kweli hakikisheni innocent dependent hakai peke yake anaweza kunywa sumu kwa jazba.
Jikite kwenye mada kijana acha kurukarukaHIVI MAN WALTER ALISHALIPWA KWELI?HILI NI LA MSINGI ZAIDI YA HILO LA RAYVANNY, AMA SIVYO PITISHENI BAKULI TUCHANGIE
Hiyo akaunt ni Mali ya Wasafi Mkuu wala siyo mali ya VanboySema unatamani tuu Rayvanny ahame, macho yako yamejipa upofu unachagua vya kuangalia, hapo juu mambo yako wazi kuwa bado yupo signed under wasafi..
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani utoke barca uende kagera sugar?
Leo kafuta post zake Zote kwenye ukurasa wake wa Instagram.
Usafini Kuna nini jamani? Kufuta post kunaashira dogo anataka kuanza upya au Anatakata kukabidhi akaunt yako kama ilivyo kawaida kwa Wcb kuwanyanganya akaunt zao zote wasanii wake pindi wanapojitoa kwenye label.View attachment 1442514
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kumfananisha Rayvanny na mambo ya kijinga.Ray Vanny akiondoka wcb atapotea ,sijui kwa mziki upi anaweza kusimama bila wcb ,asijifananishe na harmonize,hawezi kukaza msuli kama harmonize , pia wcb itakuwa haina vichwa tena