Tetesi: Tetesi za Rayvany Kusepa Wasafi zinazidi kufukuta

Tetesi: Tetesi za Rayvany Kusepa Wasafi zinazidi kufukuta

Kama haijawa hacked, basi kuna nyimbo mpya soon. ujanja mwingi
Pesa ziko kwa matahira na mazumbukuku walio wengi zaidi Tanzania embu tufanye jambo mkuu tupige hela za kutosha kabla hawajaanza kupata akili.

Mendez alivyofuta tu yale maneno ikawa ni breaking news, mtu kufuta post alizopost mwenyewe ni breaking news hahahaha ulofa huu
 
Pesa ziko kwa matahira na mazumbukuku walio wengi zaidi Tanzania embu tufanye jambo mkuu tupige hela za kutosha kabla hawajaanza kupata akili.

Mendez alivyofuta tu yale maneno ikawa ni breaking news, mtu kufuta post alizopost mwenyewe ni breaking news hahahaha ulofa huu
yah mendez walikua na mgogoro ambapo baada ya jazba wakaumaliza.
 
Pesa ziko kwa matahira na mazumbukuku walio wengi zaidi Tanzania embu tufanye jambo mkuu tupige hela za kutosha kabla hawajaanza kupata akili.

Mendez alivyofuta tu yale maneno ikawa ni breaking news, mtu kufuta post alizopost mwenyewe ni breaking news hahahaha ulofa huu
Lete idea tufanye kitu.
 
Lete idea tufanye kitu.
Kwa kuwa ni upumbavu ndio unatakiwa tuanze na kumtongoza Wema Sepetu nina kabajaj hakana kazi hadi kanaelekea kuotewa majani tuanze kumpia misele na waandishi wa online Tv nitawalipa!

Tunampigia magoti mabaunsa hata wakitubeba watutupe hatukomi akitupa tu attention yake tunaachana naye tunahamia kwa Zuchu saivi trend ipo kwa haka by the time tunakuja kumaliza upumbavu tumeshakuwa ma celebrity 😝😝 na ubalozi tutapata.

Alafu zile Post ambazo tulikuwa tunapost IG tunafuta zote kina Robinyo wanakuja kutengeneza habari
 
Kama hii habari ni ya kweli hakikisheni innocent dependent hakai peke yake anaweza kunywa sumu kwa jazba.

Hahahaha wewe jamaa ni mchokozi sana mtu anywe sumu kabisa kisa RayVanny!


Lakini Diamond lazima atambue wazi kabisa ni lazima wasanii wake anao waleo na alio walea hadi sasa lazima kuna siku wataondoka au watataka kuondoka na hilo halihitaji kuwa na utabiri liko wazi!


Kwa hiyo Diamond anatakiwa kuwekeza kweli kweli bila kujali au kununa kwakuwa ni swala la kawaida maana hata wazazi wetu huwa wanatulea lakini baadae tunaona ni vyema kuondoka nyumbani na kuanza maisha mapya!


Vivyo hivyo Diamond ni kama mzazi lazima akubali kuwa vijana wake lazima wataondoka na kutaka kujitegemea na asiwe na moyo wa kukunjika au kununa au kuvunjika moyo!

Itakuwa jambo jema sana hata kama vijana wataondoka lakini wakeendelea kuwa na mahusiano mazuri nae kama msanii mwenzie


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Hahahaha wewe jamaa ni mchokozi sana mtu anywe sumu kabisa kisa RayVanny!


Lakini Diamond lazima atambue wazi kabisa ni lazima wasanii wake anao waleo na alio walea hadi sasa lazima kuna siku wataondoka au watataka kuondoka na hilo halihitaji kuwa na utabiri liko wazi!


Kwa hiyo Diamond anatakiwa kuwekeza kweli kweli bila kujali au kununa kwakuwa ni swala la kawaida maana hata wazazi wetu huwa wanatulea lakini baadae tunaona ni vyema kuondoka nyumbani na kuanza maisha mapya!


Vivyo hivyo Diamond ni kama mzazi lazima akubali kuwa vijana wake lazima wataondoka na kutaka kujitegemea na asiwe na moyo wa kukunjika au kununa au kuvunjika moyo!

Itakuwa jambo jema sana hata kama vijana wataondoka lakini wakeendelea kuwa na mahusiano mazuri nae kama msanii mwenzie


Sent from my iPhone using Tapatalk
yees kweli kabisa mzazi anatakiwa kuwa positive pale mtoto anaposema amekua na anataka kujitegemea.
 
Write your reply...lazima aende kwenye lebo international ya kimuziki Africa na Dunia nayo ni KiNG MUSICS hata Birdman alishawahi kuulizwa ukiachia young money cash money IPI lebo Kali alisema kings music ya Tz


sema kiba alimwambia akataze media wa kule kuirusha hyo habari sababu hapendagi show off
 
Write your reply...lazima aende kwenye lebo international ya kimuziki Africa na Dunia nayo ni KiNG MUSICS hata Birdman alishawahi kuulizwa ukiachia young money cash money IPI lebo Kali alisema kings music ya Tz


sema kiba alimwambia akataze media wa kule kuirusha hyo habari sababu hapendagi show off
😂😂😂😂😂😂😂 nilivyoanza huko juu nilikuwa nilikuwa makini.. ila nilipofika chini😂
 
Back
Top Bottom