Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasoma darasa la ngapi? Weka juudi kwa mwalim wako wa twishenatangae sana na jua, hujuwa!
Ulishapona kale ka ugonjwa? Au umechanganyikiwa.Mapimbi ka nyie ndo mnaipaisha daily wcb bila kujua coz mnawafuatilia kuliko mnavowafuatilia mnaowashabikia
Habari, ahsante kwa kuwasiliana nasi, tunapenda kukufahamisha kuwa tumeyapokea maoni yako ya Ovyo Ovyo, aya kanye ukojoe ukaleHuyu jamaa Robidinyo nahisi ni Hance Mtanashati katika shati tofauti (yale ya brother k).
Nayasema haya kwakuwa
"the rise of robidinyo ndo ikawa the fall of hance"
Nadhani wote mnamjua huyu hance alikuwa kama innocent dependent, kila taarifa ya mond na genge lake alikuwa lazima apost... na wadau humu walikuwa hawaishi kumshambulia
Sasa hance akaamua aje kivingine kwa njia nyingine ya uhater bila kulose FOCUS yake...
Naposema FOCUS namaanisha lengo lake kuu ni kutupa habari na taarifa za WCB kwa njia ya kuwashambulia lakini ujumbe unakuwa umefika
Hata akitoka sawa WCB ina sign mwingine vipaji top top
LikeHata akitoka sawa WCB ina sign mwingine vipaji top top
Kwani alivyoondoka konde wcb ilitetereka.? Ndio kwanza ina shain
kaugonjwa ka kula tigo yako sijapona mkuu, kama na leo unaniletea nambie niandae barakoa na sanitizer ili usijeniambukiza corona
Yani watamla nyamaAkitoka tu team domo wote wataombea afe kisanii au kiuhalisia kabisa. Hawa watu hawapendi challenge kabisaaa
umesahau wakati harmonize alivyotoa hilo neno la signed under wasafi
na hyo ni kiki...?Bongo bila kiki hamna jipya
kweli mchambuzi
cjaona jina la Mboso au na yy kajitoa..?
AiseeHuyu jamaa Robidinyo nahisi ni Hance Mtanashati katika shati tofauti (yale ya brother k).
Nayasema haya kwakuwa
"the rise of robidinyo ndo ikawa the fall of hance"
Nadhani wote mnamjua huyu hance alikuwa kama innocent dependent, kila taarifa ya mond na genge lake alikuwa lazima apost... na wadau humu walikuwa hawaishi kumshambulia
Sasa hance akaamua aje kivingine kwa njia nyingine ya uhater bila kulose FOCUS yake...
Naposema FOCUS namaanisha lengo lake kuu ni kutupa habari na taarifa za WCB kwa njia ya kuwashambulia lakini ujumbe unakuwa umefika