Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
- Thread starter
- #81
Alilazimishwa afute na Boss wake simu na Email za madeal hazipiti tena kwake..Pesa ziko kwa matahira na mazumbukuku walio wengi zaidi Tanzania embu tufanye jambo mkuu tupige hela za kutosha kabla hawajaanza kupata akili.
Mendez alivyofuta tu yale maneno ikawa ni breaking news, mtu kufuta post alizopost mwenyewe ni breaking news hahahaha ulofa huu
Sent using Jamii Forums mobile app