Mbona umeghafilika mkuu?Ushavimbiwa ugali wa bure ni muda wako wa kuendeleza vita yako na wasafi.
The mnyama mkali.
[emoji23][emoji23][emoji23] Wamkamate Wamfunge asije akajidhuruKama hii habari ni ya kweli hakikisheni innocent dependent hakai peke yake anaweza kunywa sumu kwa jazba.
Vita gani mkuu mbona nimeweka na ushahidi hapo juu, au swaumu imekulevyaUshavimbiwa ugali wa bure ni muda wako wa kuendeleza vita yako na wasafi.
The mnyama mkali.
Unamwambia vanyboy?Jarbu kula ushibe eeh..aya mambo haya itaji njaa uta kufa bure