Tetesi za siri tusizozijua vita ya Russia vs Ukraine

Hizi hata sio tetesi ni akili zako tu ,hakuna utafuti Wala source yoyote Putin ni former wa KGB ,unadhani ni WA kitoto unaona marekan wanavyohaha kurekebiaha kaulinzao Putin sio mwarabu ,Tulia uone shooo utakuja kufuta huuu uzi

sent from HUAWEI
Nimeona hiyo sign nikawa nimekuelewa zaidi kuliko kujibu ulicho andika. Basi sawa
 
Kwahiyo hizo Siri wewe unazifahamu ?
 
Endelea kuota... Wewe ni miongoni mwa wale walioshiba hadi kujamba propaganda za magharibi. Kitu hujui ni kwamba Putin mwenyewe ni jasusi aliyebobea! Pole sana
 
Kwa hiyo hizi tetesi za siri umezijua ww mbongo!!?
aisee wabongo wanapenda utunzi
 
Hadi wewe wa huko burigi umelijua hili,ni siri ya aina gani sasa hii?
 
Teh teh teh teh

Assad mwaka wa ngapi huu na wameshindwa kumtoa madarakani au kumuua. US kashapoteza ushawishi, Ujerumani kamkataa huko amkamate huyo huyo Israel na UK
 
Haihitaji super intelligence kutambua kuwa Putin muda wake ni mfupi sana.

Kupoteza majenerali 7, siyo jambo la kawaida. Ubora wa jeshi la Russia inaonekana ulikuzwa sana kuliko uhalisia.
Russia hawana ujinga kwa kujibu propaganda. Moja wa Majenerali waliotangazwa kuuawa juzi kaonekana akiwa hai na askari wa Chenchen akisalimiana na Kadyrov.

BTW Vatican ashaanza kununua gas wa Rubles..
 
Kijana mtoa mada acha kuweweseka kujifanya unajua vitu vya kijasusi kumbe hamna kitu. Hivi unadhani Russia ni kitu cha mchezo mpaka kukianzishia tetesi ukiwa tandale..eti kuna siri nyingi urusi asizojua. Subiri nikufahamishe tu kuelekea kilele cha vita baridi RUSSIA ilitengeneza Project kubwa kabisa duniani ambayo ilikuwa inakusanya taarifa zote za raia wote wa nchi za NATO
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…