EP MEDICS COSMETICS STORE
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 2,826
- 4,593
To Simba, Aimen.Elia Mpanzu wa AS Vita
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
To Simba, Aimen.Elia Mpanzu wa AS Vita
Ni tetesi tu zimeshika kasiTo Simba, Aimen.
Haujaambiwa anaenda Simba, bali jamaa kaamuwa kuweka picha tu ili aifurahishe nafs yake.To Simba, Aimen.
😁😁Haujaambiwa anaenda Simba, bali jamaa kaamuwa kuweka picha tu ili aifurahishe nafs yake.
Endelea kuugulia lakini jamaa hawezi kuja kuvaa SANDA🤣🤣🤣🤣
Atavaa tuuEndelea kuugulia lakini jamaa hawezi kuja kuvaa SANDA🤣🤣🤣🤣
Endelea kujapa moyo, lakini wakala keshasema.Atavaa tuu
Mmeshabinya makende yenu ya kichawi kisa mpanzu kwa muda gani sasa...naamin yashapasukaHaujaambiwa anaenda Simba, bali jamaa kaamuwa kuweka picha tu ili aifurahishe nafs yake.
Ubaya ubwelaNaona mzee umekuja kutushtua kidogo
Hiyo ni sh ngapi Kwa hela ya madafu? Mnadanganyana tu vijiweniEndelea kujapa moyo, lakini wakala keshasema.
Nibora amuuze Miembeni fc lakini sio kwa makolo.
Ni mpaka mutakapo mlipa $5000 zake.
Unaumwa?Haujaambiwa anaenda Simba, bali jamaa kaamuwa kuweka picha tu ili aifurahishe nafs yake.
mpanzu amesinya?Kama unakuja tarehe 4 Agosti kumuangalia rasta nakusihi usijisumbue. Hutamuona
Nitakuja hapa kusema ndiyo au hapana.mpanzu amesinya?
Ninavyo subili hili dili,mpanzu bonge la mchezajiNitakuja hapa kusema ndiyo au hapana.
$5000, ni sawa na M13+ kwa pesa yetu ya mabungo.Hiyo ni sh ngapi Kwa hela ya madafu? Mnadanganyana tu vijiweni
Wakala wa Ellie Mpanzu amesema Viongozi wa Simba ni janja janja sana yaani mpaka huelewi unadeal na nani maana kila Kiongozi yupo front. Kiasi kwamba katika dili iliyopita walimrusha dola zake 5,000 mpaka kesho. Labda wamlipe hizo dola zake ili warudishe imani ndio awezeshe dili la Mpanzu.Endelea kujapa moyo, lakini wakala keshasema.
Nibora amuuze Miembeni fc lakini sio kwa makolo.
Ni mpaka mutakapo mlipa $5000 zake.
Dili lililopita ni lipi?Wakala wa Ellie Mpanzu amesema Viongozi wa Simba ni janja janja sana yaani mpaka huelewi unadeal na nani maana kila Kiongozi yupo front. Kiasi kwamba katika dili iliyopita walimrusha dola zake 5,000 mpaka kesho. Labda wamlipe hizo dola zake ili warudishe imani ndio awezeshe dili la Mpanzu.
Unaumia pole?$5000, ni sawa na M13+ kwa pesa yetu ya mabungo.
Tunacho ongopeana vijiweni ni nini?
Kwani ni uongo kua wakala wa Mpanzu anawadaini vibunda vyake?
😁Unaumia pole?
Huyo ni dalali tu asikupe kiburi jianda kwa maumivu wakala hawai kuzuia mchezaji kwenda timu fulani kama huyo mchezaji anataka kuchezea timu, ila mchezaji ana uwezo wa kuikataa timu na wakala asifanye chochote, Boss wa Wakala ni mchezaji
Kaa kwa kutulia Tarehe 8 mpanzu yupo tayari kwa kuwapelekea moto