- Thread starter
- #621
SawaMkuu huyo mchezaji ashanitoka, kama uko "jikoni" waambie wadau waachane nae. Kwanza naona hii vita japo tumeiweza kwa wachezaji wengine wazur ila naona wemgine kama.hawa maadui zetu ikiwemo yanga wanaongea na vilabu wasitupe wachezaji tunaowataka au wanakwamisha ..nikitaka nijue meneja au anaemsimamia Lawi ni nani