dimaa
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 4,174
- 5,658
Mpanzu ni hatari sana?Anasema leo kutakua na sajili 3, 1 tayari, bado 2,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpanzu ni hatari sana?Anasema leo kutakua na sajili 3, 1 tayari, bado 2,
NdiyoMpanzu ni hatari sana?
Tafuta pesa uondoe umaskini na uchawi.Yanga tutawapaka zaidi ya yule mwanachuo wa St Augustine
Kwa leo tu mkuu au ndio tumeshamalizaBado Debora na Elia
Leo bado wawili.Kwa leo tu mkuu au ndio tumeshamaliza
Huyu mbona kama alikua bado anahitajika?Thank you Sadio Kanoute (Putin)
Sio kwamba bado wanamtafakari ?Thank you Sadio Kanoute (Putin)
Hawa wachezaji baadhi wangepewa nafas mara nyingi pengine wangekua vizur kwa sasaThank you Duchu
Amacheza nafas ipi uwanjani mkuuOfficial, Debora Fernandez ninyama
Kiungo mkabaji .Amacheza nafas ipi uwanjani mkuu
Ball boy huyo Bi. DeboraAmacheza nafas ipi uwanjani mkuu
Wengine wanatolewa Kwa mkopoHawa wachezaji baadhi wangepewa nafas mara nyingi pengine wangekua vizur kwa sasa
Kiungo mshambuliaji, namba 8Amacheza nafas ipi uwanjani mkuu
Nani anashushwa saa 5?Kiungo mshambuliaji, namba 8