TETESI ZA USAJILI:Tambwe kuibana yanga mkataba mpya

Kwa nini mkuu,huyo na kamusoko ndo wachezaji wenye moyo na wasio na masihala uwanjani.

Licha ya kuwa Age inaenda, uwezo wake unapungua.

By the way...kwa sasa pale Yanga hatuhitaji tena (striker), nadhani tunahitaji (center forward) mambo ya kungoja kulishwa mipira ndio ufunge sio kabisa..

Nimemfuatilia sana Last season.
 
Aondoke
 
Huu mwaka watani wataisoma namba kweli kweli. Majuzi Nilisikia Tetesi za kurudi Kanjibhahi..............!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…