BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
- Thread starter
-
- #41
Acha kupaniki [emoji2][emoji2][emoji2]MWANITESA YUNAITEDI IME LAANIWA
Makelele ya mashabiki hua hayasumbui ila wanaojua mpira wanajua kinachoendelea[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa Pogba je? Wakati anasajiliwa mlishajipaga ubingwa tayari Ila saizi mnapumulia mipira
Alexis anawatoa watu mapovu...mbona sisikii mapovu ya theo walcottMan U kama CCM acha akale hizo hela za bwerere ila najua impact yake kwa Man U itakuwa kidogo
Shukran mkuu kwa kumjjbu kwa hoja hakika wewe ni mpenzi wa mpira wa miguu sio shabiki wa mpira wa miguu kama wengi hapa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Alexis anawatoa watu mapovu...mbona sisikii mapovu ya theo walcott
Kwa huo umri tayari Messi alikua na Ballon Dior 2.kwani pogba ana nini? majeruhi yake na ile red card vimechangia tuwe nyuma ila akiwemo uwanjani mziki wake kila mtu anaujua.
Pogba amecheza mechi 13 tu lakini anaongoza kwa assist ulaya nzima akifungana na kina de bruyne waliocheza mechi kibao, kina neymar etc.
jamaa anadominate karibia kila mechi anayocheza, anapiga pasi ndefu, anakaba, anakimbia kama winga, anapiga chenga kama winga, ana nguvu, mashuti ya mbali anaweza, anapiga vichwa kwenye mipira iliokufa kama beki wa kati ama striker, bila kusahau yale magoli ya ku chop kama messi.
ni mtoto wa pale pale manchester tuliemkuza wenyewe kijana mdogo bado miaka 24 hata haja peak, King of DaB empire POGBOOM!!!!!!
kwa hio ukiwa huna mafanikio ya messi wewe ni mbaya?Kwa huo umri tayari Messi alikua na Ballon Dior 2.
Najiuliza hili dirisha litafungwa lini?Nikajua usajili wa Chadema kwenda CCM arifu
Hahah mpk msimu wa 2021 mkuuNajiuliza hili dirisha litafungwa lini?
He made wrong choice. Angeenda City ndio angalau angenyanyua kwapa. Labda kama kafwata mshahara mkubwa na si mafanikio kama kubeba makombe.
Hawezi kupata EPL akiwa na United, sababu ni kwamba City wataendelea kuitawala priemier league kwa muda. Ameshindwa kusoma nyakati.
Hawa ni baadhi ya wchezaji walioondoka Aseno na kwenda kunyanyua kwapa vilabu walivyokwenda.
Van presie
Clich
Sagna
Viera
Hendry
Leb
Song
Nasri
Sanchez namsikitikia kwa jasho analovuja anaishia kinyanyua kwapa kwa mick mouse cup kama anavyosema rafiki'ngu King Ngwaba.
Bora arudi kwao tu kwingine ni mateso bila chukiShida ni kwamba haitaki arsenal anaitaka borussia dortmund na ndio linalochelewesha hilo dili lisikamilike hadi sasa
Unazungumzia biashara za ballon hizoKwa huo umri tayari Messi alikua na Ballon Dior 2.
Mkuu ufafanuzi mzuri ila wakti unawafafanulia watu lazima ujue kuna mashabiki na wapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa, mpenzi wa mpira wa miguu atakua amekuelewa ufafanuzi wakokwa hio ukiwa huna mafanikio ya messi wewe ni mbaya?
neymar,suarez, kroos, modric, buffon, de bruyne etc wote hawana issue sababu hawana baloon D or wakiwa na miaka 24?
kila mwaka Pogba hakosi kikosi cha dunia toka aanze kucheza first team. akikosa kikosi cha kwanza reserve atakuwepo.
even msimu wa mwaka jana ambao haters mlikuwa mnaongea sana pogba alikuwepo reserve ya kikosi cha dunia.
means kwa mwaka jana kwenye midfield 6 bora duniani yeye ni mmoja wapo. na speed ya mwaka huu sitashangaa akirudi tena first eleven.