TETETSI: Ndani ya masaa 48 kuna kifaa kinatua MAN UTD

TETETSI: Ndani ya masaa 48 kuna kifaa kinatua MAN UTD

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Kwa Pogba je? Wakati anasajiliwa mlishajipaga ubingwa tayari Ila saizi mnapumulia mipira
Makelele ya mashabiki hua hayasumbui ila wanaojua mpira wanajua kinachoendelea
 
Screenshot_2018-01-17-12-47-48-1.png
 
kwani pogba ana nini? majeruhi yake na ile red card vimechangia tuwe nyuma ila akiwemo uwanjani mziki wake kila mtu anaujua.

Pogba amecheza mechi 13 tu lakini anaongoza kwa assist ulaya nzima akifungana na kina de bruyne waliocheza mechi kibao, kina neymar etc.

jamaa anadominate karibia kila mechi anayocheza, anapiga pasi ndefu, anakaba, anakimbia kama winga, anapiga chenga kama winga, ana nguvu, mashuti ya mbali anaweza, anapiga vichwa kwenye mipira iliokufa kama beki wa kati ama striker, bila kusahau yale magoli ya ku chop kama messi.

ni mtoto wa pale pale manchester tuliemkuza wenyewe kijana mdogo bado miaka 24 hata haja peak, King of DaB empire POGBOOM!!!!!!
dd6a90382fe7b8cd3b07029fb0adcb95.jpg
Kwa huo umri tayari Messi alikua na Ballon Dior 2.
 
Kwa huo umri tayari Messi alikua na Ballon Dior 2.
kwa hio ukiwa huna mafanikio ya messi wewe ni mbaya?

neymar,suarez, kroos, modric, buffon, de bruyne etc wote hawana issue sababu hawana baloon D or wakiwa na miaka 24?

kila mwaka Pogba hakosi kikosi cha dunia toka aanze kucheza first team. akikosa kikosi cha kwanza reserve atakuwepo.

even msimu wa mwaka jana ambao haters mlikuwa mnaongea sana pogba alikuwepo reserve ya kikosi cha dunia.

means kwa mwaka jana kwenye midfield 6 bora duniani yeye ni mmoja wapo. na speed ya mwaka huu sitashangaa akirudi tena first eleven.
 
Sanchez amegoma kujiunga team yenye mkufunzi mwehu ya united
 
He made wrong choice. Angeenda City ndio angalau angenyanyua kwapa. Labda kama kafwata mshahara mkubwa na si mafanikio kama kubeba makombe.

Hawezi kupata EPL akiwa na United, sababu ni kwamba City wataendelea kuitawala priemier league kwa muda. Ameshindwa kusoma nyakati.

Hawa ni baadhi ya wchezaji walioondoka Aseno na kwenda kunyanyua kwapa vilabu walivyokwenda.

Van presie
Clich
Sagna
Viera
Hendry
Leb
Song
Nasri

Sanchez namsikitikia kwa jasho analovuja anaishia kinyanyua kwapa kwa mick mouse cup kama anavyosema rafiki'ngu King Ngwaba.


Mkuu Viera na Henry waliwahi nyakua vikombe wakiwa Arsenal kabla hawajaamua kuhamia timu zingine. Angalia kumbukumbu zako vizuri.
 
kwa hio ukiwa huna mafanikio ya messi wewe ni mbaya?

neymar,suarez, kroos, modric, buffon, de bruyne etc wote hawana issue sababu hawana baloon D or wakiwa na miaka 24?

kila mwaka Pogba hakosi kikosi cha dunia toka aanze kucheza first team. akikosa kikosi cha kwanza reserve atakuwepo.

even msimu wa mwaka jana ambao haters mlikuwa mnaongea sana pogba alikuwepo reserve ya kikosi cha dunia.

means kwa mwaka jana kwenye midfield 6 bora duniani yeye ni mmoja wapo. na speed ya mwaka huu sitashangaa akirudi tena first eleven.
Mkuu ufafanuzi mzuri ila wakti unawafafanulia watu lazima ujue kuna mashabiki na wapenzi ni vitu viwili tofauti kabisa, mpenzi wa mpira wa miguu atakua amekuelewa ufafanuzi wako
 
Back
Top Bottom