Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Uko right. Hilo nalijua. Walisoma nyakati wakaamua kuondoka. Kumbuka wakati ule Arsenal walikuwa kwenye project ya ujenzi wa uwanja mpya huu wa sasa Emirate. Hivyo badget ya usajili ilikuwa finyu kiasi cha kushindwa kusign world class player.Mkuu Viera na Henry waliwahi nyakua vikombe wakiwa Arsenal kabla hawajaamua kuhamia timu zingine. Angalia kumbukumbu zako vizuri.
Haha umepitwa sana aiseeSanchez ashadakwa chelsea
Shauri yakoHaha umepitwa sana aisee
Hii taarifa c ya kweli. Nemetembelea site mbali mbali sijaona hii kitu.View attachment 677917 watu hawataki maneno vitendo
Sawa[emoji41]Hii taarifa c ya kweli. Nemetembelea site mbali mbali sijaona hii kitu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] SCAMS SCAMS SCAMSView attachment 677917 watu hawataki maneno vitendo
Achana na hao SCAMS ...wanafikiri watanzania wote wajinga hatuna elimu ya kufuatilia kwemye mitandao inayotoa habari za usajili kila dakika..Hii taarifa c ya kweli. Nemetembelea site mbali mbali sijaona hii kitu.
Uko right. Hilo nalijua. Walisoma nyakati wakaamua kuondoka. Kumbuka wakati ule Arsenal walikuwa kwenye project ya ujenzi wa uwanja mpya huu wa sasa Emirate. Hivyo badget ya usajili ilikuwa finyu kiasi cha kushindwa kusign world class player.
Acha kupaniki tulia uone mchezo unavyomalizwa kitalaamKocha wa hawa nyumbu ni mwehu
Sanchez... Karibu OT.
Acha majungu...don't you see what Pogba is doing?So what?? Pogba mlitamba kama Asley ila naona mwendo wa kubuma tuuh..!
Aisee,kunywa soda hapo ulipo.Unamuongelea pobga yupi mkuu? Wa tanzania au man u?
Kama ni wa man u basi jua wewe sio mfwatiliaji wa mpira... Otherwise usingeandika hii comment!!
Kwa kuhama Man Utd?Ila akiamia City hizo sifa zote zitakuwa zimekufa sio?
View attachment 677917 watu hawataki maneno vitendo