Teuzi na tangua za Makonda ni wazi kuwa hafai ila kwasababu zisizoeleweka vizuri mamlaka zinajikuta zinamteua japo zinajua kuwa hafai

Teuzi na tangua za Makonda ni wazi kuwa hafai ila kwasababu zisizoeleweka vizuri mamlaka zinajikuta zinamteua japo zinajua kuwa hafai

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa stahiki.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, ni washenga, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains au hata cartels pia, hutumika kama pazia na vikaragosi ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
 
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa stahiki.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya kweli ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains, hutumika kama pazia ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
Shida yake ni mdomo..
Na huko AR..anaenda haribu zaidi.
 
baada ya report ya CAG ilisikika kelele mkoani dar es salaam mlete makondaa mlete makondaa. Labda anaanzia arusha kisha dar
CHALAMILA STANDUP
 
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya kweli ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains, hutumika kama pazia ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
Nchini Peru, polisi wamevamia makazi ya Rais wao kutafuta saa za, Rolex anazozaniwa anazimiriki! Hakuziolodhesha kwenye Mali anazimiriki kama sheria inavyotaka, huku kwetu Rais anafanya kitu, ili mradi awakele wapinzani wake, siasa za, maonyesho tu, CCM ni kama mafia family
 
Basi sawa. Tumuache sasa Mkuu wetu wa Mkoa wa Arusha apange mikakati yake ya kuja kitunyoosha kwenye zile ziara zake pendwa za kuwahoji watumishi wa umma na pia kuwakoromea hadharani.
 
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa stahiki.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, ni washenga, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains au hata cartels pia, hutumika kama pazia na vikaragosi ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
Anawajua sana Waganga
 
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa stahiki.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, ni washenga, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains au hata cartels pia, hutumika kama pazia na vikaragosi ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
Ubaya wa Makonda ni upi?.

Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa.

Kwako ubaya wake ni nn??
 
Ubaya wa Makonda ni upi?.

Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa.

Kwako ubaya wake ni nn??
Wewe kama walivyo watanzania wengi wasiojua kitu, unafikiri kwanini Makondo ametanguliwa kama kweli anapendwa sana na anafanya mambo mazuri?
 
Ni kwa sababu damu za watu zinamlilia kila aendako. Hata hapo Arusha hatoboi believe me.
 
Jambo la ajabu ni kuwa, japo Mama amemwona Makonda kuwa ni hatari kwa chama, lakini hajaweza kuachana naye kabisa. Afrika tuna safari ndefu kwa mambo haya ya teuzi zisizozingatia weledi na sifa stahiki.

Paul Makonda ni wale watu Waingereza wanawaita controversial figures, watu wenye mtafaruku. Hawa hawaeleweki na wakati mwingine ni opportunistic, watu wanaotumia fursa zinazojitokeza kujipatia umaarufu binafsi. Watu kama akina Makonda ni populists, tena self-centered populists, hawa watu huangalia umaarufu wao tu na jinsi umma unavyowaona. Mahali pengine wanaweza kuwa divisive, yaani ni watu ambao huwagawa watu kwa matendo yao na kuiacha jamii ikigawanyika huku na huko.

Makonda hajawahi kusimama kwa manufaa ya umma pasipo kujiweka yeye mwenyewe mbele ya maslahi ya umma. Hawa akina Makonda ni king makers, ni washenga, lakini wanaweza kuwa hatari kwa hao kings kwani kuwageuka mabosi wao ni dakika tu sifuri tu, kwani wanaujua unafiki vizuri. Watu kama akina Makonda hutumika kama curtains au hata cartels pia, hutumika kama pazia na vikaragosi ambapo nyuma yako hujificha wakubwa na kufanya watakayo.

Mwisho wa watu kama akina Makonda ni kwa Taifa kupoteza, vyama kupoteza, viongozi kupoteza na vibaraka hawa nao kupoteza. Kwa ujumja watu kama akina Makonda hutumika katika siasa za kihalifu. Hawa mifano yake ni akina Sabaya, na mnajua mwisho Taifa lilipoteza, CCM ilipoteza, Magufuli alipoteza na Sabaya naye alipoteza.
KILE CHEIO CCM N KIKUBWA MKUU MBINU RAHISI YA KUMWONDOA N KUMPATIA KINGINE KULE WANAMALIZANA NAE ...WEKA KUMBUKUMBU NIKOPALEE...
 
Huyu Makonda huwa anajiteua au anateuliwa?

Unaomba kuteuliwa au mteuaji anaamua mwenyewe akiona unafaa.

Mtu kakaa kwake akiendelea na shughuli zake unamteua halafu watu wengine wanalalamika na uteuzi unabadilishwa kazi moja kwenda nyingine shida ni nini.

Shaka alitolewa akapelekwa ukuu wa wilaya huyu katenguliwa kapewa ukuu wa mkoa.
 
CCM inamuhitaji sana Makonda hasa ikifikia hatua ya kucheza rafu mbaya za kisiasa.

Jamaa ni mzee wa kijilipua, hajali yatakayofuata baadae.

Wapi Ben 8, wapi Azory.
Yule anaweza kuua hata wazazi wake
 
Kiukweli makonda hafai ktk utawala kabisa!
Sijui kuna nini nyuma ya "pazia" kum'beba vile!
 
baada ya report ya CAG ilisikika kelele mkoani dar es salaam mlete makondaa mlete makondaa. Labda anaanzia arusha kisha dar
CHALAMILA STANDUP
Makonda ni Super Sweeper Upper!

Hata wewe ukiwa kiongozi ni lazima umtumie.
 
Yeye ndio wa kwanza kuteuliwa na kutenguliwa? Huu ni utamaduni wa ccm kuteua na kutengua wanapojisikia. Kuna huyu Edwin Mhede, naona kila mahali panamshinda na anahamishwa tu.

Huu ni utamaduni wa ccm.
 
CCM inamuhitaji sana Makonda hasa ikifikia hatua ya kucheza rafu mbaya za kisiasa.

Jamaa ni mzee wa kijilipua, hajali yatakayofuata baadae.

Wapi Ben 8, wapi Azory.
Munamkuza sana huyo mtu wenu hadi yeye mwenyewe ana washangaeni. Rafu gani anayoweza kuifanya Makonda? Au ipi aliyowahi kuifanya ikamsaidia hata yeye? Aliingia kichwakichwa Kigamboni akaishia kupapaswa maka**lio na Ndungulile
 
Back
Top Bottom