P pilipili kichaa JF-Expert Member Joined Sep 3, 2013 Posts 18,406 Reaction score 14,643 Apr 2, 2024 #21 Carlos The Jackal said: Ubaya wa Makonda ni upi?. Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa. Kwako ubaya wake ni nn?? Click to expand... Dar nzima ndio akina nani? Sema nyie machawa mnampenda kwa kuwa akili zenu sio rizki!
Carlos The Jackal said: Ubaya wa Makonda ni upi?. Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa. Kwako ubaya wake ni nn?? Click to expand... Dar nzima ndio akina nani? Sema nyie machawa mnampenda kwa kuwa akili zenu sio rizki!
K konyola JF-Expert Member Joined Dec 13, 2016 Posts 4,191 Reaction score 6,636 Apr 2, 2024 #22 Carlos The Jackal said: Ubaya wa Makonda ni upi?. Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa. Kwako ubaya wake ni nn?? Click to expand... Wewe na mkeo kumpenda makoñda ndo Dsm nzima? Hebu tuondolee uzombi wako
Carlos The Jackal said: Ubaya wa Makonda ni upi?. Ikiwa Dar nzima ilimpenda, kawa KM Mwenezi, kapendwa haswaa. Kwako ubaya wake ni nn?? Click to expand... Wewe na mkeo kumpenda makoñda ndo Dsm nzima? Hebu tuondolee uzombi wako
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 2, 2024 #23 Muda utaongea... Cc: Mahondaw
Northpole JF-Expert Member Joined Nov 18, 2023 Posts 590 Reaction score 853 Apr 2, 2024 #24 Nitajie kiongozi nchi hii ambaye amesimama kwa masilahi ya umma na si kwa masilahi yake binafsi.