TEUZI: Rais Samia amteua Jaji Mustapha Siyani kuwa Jaji Kiongozi, Sophia Mjema kuwa RC Shinyanga

Kamuulize yeye atakueleza kaibuliwa vipi, kitu usokijua ni bora ukaomba usaidiwe kujua kuliko kujifanya unajua kila kitu.
Ni wapi niliposema najuwa kila kitu? Nimekuuliza hapo badala ya kunijibu unaleta viroja.
 
Kumekucha ni Siri nyuma yake ya uteuzi huu?

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
 
CJ ni Muislam
JK ni Muislam
Msajili Wa Mahakama Tz ni Muislam
jamani tuacheni hizi mbishe,

tumuhukumu kwa vigezo vyake

angechukuliwa mtu from no where bila vigezo tungekua na haki ya kuhoji,

lakini hawa wote wanaoteuliwa ni watu waliokwiva kwelikweli, wajuvi kwelikweli

hawajapendelewa.
 
Uteuzi wa kimkakati
 
Samia amekwishasema kuwa anataka mahakama itende haki. Mnataka amteue mtu dhulumati kama maganga awe jaji kiongozi?
 
Huu uteuzi una mashaka mengi. Naiona rushwa ya cheo ikitamalaki
 
Tusubiri labda tarehe 19/10/2021 ndio tutapata majibu kamili, sasa hivi ni ubashiri tu.
 

kiSwahili hakijitoshelezi katika taaluma nyingi. Bado mapema sana kuanza hatua hiyo kubwa.

Hata lugha ya French na English wamekopa sana maneno ya Sayansi, utabibu, sheria n.k kutoka lugha ya kigiriki na kilatini ili kufikisha ujumbe wa kitaaluma bila kupotosha dhima ya ujumbe ynaokusudiwa.

Sababu ya waFaransa na Waingereza kukopa maneno kibao ni baada ya wao kujitathmini na kutambua mfano lugha ya French ni kwa ajili ya kuwasilisha ujumbe wa kimapenzi inaongoza. Huku lugha ya Kiingereza ni kwa ajili ya kuandika mashairi na michezo ya kuigiza inaongoza.
French is a Romance language.
Sasa lugha ya kiSwahili tufanye tathmini inaongoza katika kuwasilisha na kutumika katika nini kuliganisha na lugha zingine za kibantu labda inaongoza katika kueneza dini na kuimba lakini inapokuja suala la taaluma ipo nyuma sana hivyo ijipange kukopa na kutohoa maneno ya kitaaluma toka ktk lugha za kigiriki, kilatini, kiarabu, kiEnglish, kifaransa n.k ili tusije kuwa tunapotoka ktk kuwakilisha elimu na maana husika za kitaaluma.
 
Mbona kwenye kesi ya mauaji ya akina Zombe na wenzake kesi alisikiliza jaji kiongozi wa wakati huo (jina limenitoka)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…