TEUZI: Rais Samia Suluhu afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali Novemba 13, 2021

TEUZI: Rais Samia Suluhu afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali Novemba 13, 2021

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
IMG_20211113_183130.jpg

IMG_20211113_183135.jpg
 
Ukiwa Rais wa Tanzania usipokuwa makini utafanya kazi ya Teuzi miaka yote mitano. Nakumbuka Kikwete mpaka siku ya mwisho aliteua, bahati mbaya mteule akawa wa kwanza kutumbuliwa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app

Acha wivu wewe....
Mama Endelea Kuteu...Huenda Siku moja nami Ukanikumbu[emoji3516][emoji41][emoji120]
 
Ila Kuna Taasisi nyingine chini ya Wizara ya Nishati hazina Bodi huu mwaka wa 5 Sasa Duu!
Inawezekana Mama ana Mambo Mengi amewasahau[emoji3516][emoji30][emoji23][emoji41]
 
Kuna nafasi kwa sasa hadi uwe Dkt au Prof ndio utaweza kuzipata.
 
Back
Top Bottom