Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Yule ni mhimili, lakini naye azisome alama za nyakati!Hivi Ndugai harogeki hata kidogo tu?
Huyu bwana RC Kunenge, bado sijui kosa lake, lakini ile hotuba yake mbele ya wazee haikuvutia sana.Roho mbaya za chadema zishindwe na kulegeaView attachment 1787017View attachment 1787018
Kweli mkuu, umemsahau na yule Byakanwa aliyefyeka shamba la Mbowe.Mama ana msimamo tofauti kabisa na mtangulizi wake.
Hapendi kabisa wananchi kuonewa.
Pamoja na kuongea hadharani, lakini hata teuzi zake zimeongea hivyo.
Vyombo vilivyotumika na Mwendazake kuminya uhuru wa wananchi katika utekelezaji wa maisha ya kawaida, vimepigwa dhoruba ya kisawasawa.
TCRA- Eng Kilaba OUT!
TAKUKURU- Gen Mbung’o OUT
TRA -aliyekuwepo(hata jina silikumbuki)-OUT
DPP-Biswalo Mganga-OUT
........
.........
........
HAPA tunamsoma vizuri sana Mama, anarudisha hekima ya kuwatumikia wananchi kwa staha, weledi na bila uonezi.
Mama Samia , Mungu akutangulie!
Labda ni mambo ya kazi zaidi, ila hana shida na mtu huyu nduguHuyu bwana RC Kunenge, bado sijui kosa lake, lakini ile hotuba yake mbele ya wazee haikuvutia sana.
Niliona mpambe akimtonya amalize na asepe!
Viongozi wenye roho mbaya sasa hivi ni roho juu.Kweli mkuu, umemsahau na yule Byakanwa aliyefyeka shamba la Mbowe.
Alikuwa Mwanza kaliwa kichwa.
Akiwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Gelasius Byakanwa aliyefyeka shamba la Freeman Mbowe kule Hai, leo naye katumbuliwa akiwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara
Mh Byakanwa kabla ya kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Mtwara alitokea Hai alikohudumu kama mkuu wa wilaya. Byakanwa alipokewa kijiti na Ole sabaya aliyetumbuliwa juzi Byakanwa naye leo katenguliwa akisubiri kupangiwa kazi nyingine. Eid Mubarak...www.jamiiforums.com