Teuzi za Rais Samia zinavyoinua wanawake

Teuzi za Rais Samia zinavyoinua wanawake

Rashda Zunde

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2022
Posts
204
Reaction score
231
Kufuatia mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu, Tanzania sasa ina wakuu wa mikoa 8 wanawake sawa na 30.7%.

Hii inawezekana ndiyo idadi kubwa zaidi ya wakuu wa mikoa wanawake tangu uhuru wa Tanzania zaidi ya miaka 60 iliyopita.

Rais Samia Suluhu anaamini katika usawa na kwamba kila mtu anayejituma na kufanya kazi kwa bidii basi anafaa kupewa nafasi ya kuchangia katika jamii.

Mlioteuliwa sasa, msiende kumuangusha Mama ila mkafanya kazi si mnaona namna ambavyo mama yuko kazini , basi nanyi mkaungane naye.
 
Wakina mama wengi ni waaminifu, si wapiga dili na ni wachapa kazi wazuri. This is by nature. Si rahisi hata kidogo kwenda kumuhonga mwanamke hasa kama ameolewa. Utamuongia ingia jee na wapi?

Kwenye wizara nyeti zinazolalamikiwa na wananchi kuwa na harufu za michongo, ni bora zikapewa akina mama. Wananchi wanaamini rais atasikia sauti zao na kuzifanyia kazi. Hususani hili suala la kupanda sana za bei za bidhaa zote kwa sababu ya kupanda kwa bei ya mafuta ya kutoka nchi za Waarabu ili hali yale ya kutoka Urusi bei yake ni ndogo sana kwa sababu ya kususiwa na nchi za ulaya magharibi na marekani.
 
Rais Samia Suluhu aliahidi kuwashika mkono wanawake ambao hapo awali walikua wakikosa nafasi za uongozi na sasa hivi tunaona ahadi yake ikitimia
 
Kufuatia mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu, Tanzania sasa ina wakuu wa mikoa 8 wanawake sawa na 30.7%.

Hii inawezekana ndiyo idadi kubwa zaidi ya wakuu wa mikoa wanawake tangu uhuru wa Tanzania zaidi ya miaka 60 iliyopita.

Rais Samia Suluhu anaamini katika usawa na kwamba kila mtu anayejituma na kufanya kazi kwa bidii basi anafaa kupewa nafasi ya kuchangia katika jamii.

Mlioteuliwa sasa, msiende kumuangusha Mama ila mkafanya kazi si mnaona namna ambavyo mama yuko kazini , basi nanyi mkaungane naye.
Naunga mkono hoja
P
 
Back
Top Bottom