Teuzi za viongozi wa ngazi za juu katika utumishi wa umma

Teuzi za viongozi wa ngazi za juu katika utumishi wa umma

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Mojawapo ya mambo ambayo hawa waitwao ‘viongozi’ wetu wanayaweza ni kuteua na kutengua watu wa kuzijaza nafasi za uongozi hususan serikalini na kwenye idara zake.

Na jambo kubwa linalonichefua sana ni hii dhana ya kuonekana mtu ‘kaula’ anapoteuliwa na Rais kwenye nafasi yoyote ile ya kiuongozi.

Kuna nini cha ‘kula’ kwenye utumishi wa umma wa nchi iliyo maskini kama hii Tanzania yetu?

Kuwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, na kadhalika, kuna nini cha ‘kula’ mpaka iwe shangwe kwa watu pale mtu mmoja anapoteuliwa kwenda kuitumikia hiyo nafasi?

Hayo yote ni matokeo ya udhaifu wa uongozi wa CCM.

Uongozi wa CCM umejenga utamaduni wa kinyumenyume kabisa.

Badala ya kwenda kuwatumikia wananchi, wateuliwa wa serikali za CCM huwa wanajinufaisha wao tu.

Sikumbuki kuona au kusikia popote pale Rais kutoka CCM aliyekemea hii dhana hasi ya ‘kuula’.

Marais wa CCM wanachokiweza ni kuteua na kutengua, hususan Rais Samia na mtangulizi wake.

Kutwa kucha kuteua tu lakini hawakemei dhana potofu ya ‘kuula’!

Rais mwepesi [lightweight]. Chama tawala ni chepesi. Umma [idadi kubwa] haujielewi.

Typical banana republic.
 
Ushaambiwa hakuna kazi inayolipa zaidi Africa kama kuwa Mwanasiasa!

Hizi teuzi bila shaka zinawanufaisha wakubwa pia..
 
Hicho ndicho wanachoweza viongozi dhaifu duniani.

USSR
 
Mojawapo ya mambo ambayo hawa waitwao ‘viongozi’ wetu wanayaweza ni kuteua na kutengua watu wa kuzijaza nafasi za uongozi hususan serikalini na kwenye idara zake.

Na jambo kubwa linalonichefua sana ni hii dhana ya kuonekana mtu ‘kaula’ anapoteuliwa na Rais kwenye nafasi yoyote ile ya kiuongozi.

Kuna nini cha ‘kula’ kwenye utumishi wa umma wa nchi iliyo maskini kama hii Tanzania yetu?

Kuwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, na kadhalika, kuna nini cha ‘kula’ mpaka iwe shangwe kwa watu pale mtu mmoja anapoteuliwa kwenda kuitumikia hiyo nafasi?

Hayo yote ni matokeo ya udhaifu wa uongozi wa CCM.

Uongozi wa CCM umejenga utamaduni wa kinyumenyume kabisa.

Badala ya kwenda kuwatumikia wananchi, wateuliwa wa serikali za CCM huwa wanajinufaisha wao tu.

Sikumbuki kuona au kusikia popote pale Rais kutoka CCM aliyekemea hii dhana hasi ya ‘kuula’.

Marais wa CCM wanachokiweza ni kuteua na kutengua, hususan Rais Samia na mtangulizi wake.

Kutwa kucha kuteua tu lakini hawakemei dhana potofu ya ‘kuula’!

Rais mwepesi [lightweight]. Chama tawala ni chepesi. Umma [idadi kubwa] haujielewi.

Typical banana republic.
Hakuna chochote cha kuula siku hizi. Kuula ni zamani wakati serikali ikimiliki njia kuu za uzalishaji. Kwa sasa wateuliwa huishia kusimamia sera, sheria, miongozo, taratibu, kanuni na human resource iliyoko chinu yake.
Kuna kipi cha kuula?
Nani katajirika kwa kuwa ameteuliwa kuwa KM, NKM, RC, DC kwa miaka ya karibuni?
 
Hakuna chochote cha kuula siku hizi. Kuula ni zamani wakati serikali ikimiliki njia kuu za uzalishaji. Kwa sasa wateuliwa huishia kusimamia sera, sheria, miongozo, taratibu, kanuni na human resource iliyoko chinu yake.
Kuna kipi cha kuula?
Nani katajirika kwa kuwa ameteuliwa kuwa KM, NKM, RC, DC kwa miaka ya karibuni?
Oh, okay….
 
Mojawapo ya mambo ambayo hawa waitwao ‘viongozi’ wetu wanayaweza ni kuteua na kutengua watu wa kuzijaza nafasi za uongozi hususan serikalini na kwenye idara zake.

Na jambo kubwa linalonichefua sana ni hii dhana ya kuonekana mtu ‘kaula’ anapoteuliwa na Rais kwenye nafasi yoyote ile ya kiuongozi.

Kuna nini cha ‘kula’ kwenye utumishi wa umma wa nchi iliyo maskini kama hii Tanzania yetu?

Kuwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, na kadhalika, kuna nini cha ‘kula’ mpaka iwe shangwe kwa watu pale mtu mmoja anapoteuliwa kwenda kuitumikia hiyo nafasi?

Hayo yote ni matokeo ya udhaifu wa uongozi wa CCM.

Uongozi wa CCM umejenga utamaduni wa kinyumenyume kabisa.

Badala ya kwenda kuwatumikia wananchi, wateuliwa wa serikali za CCM huwa wanajinufaisha wao tu.

Sikumbuki kuona au kusikia popote pale Rais kutoka CCM aliyekemea hii dhana hasi ya ‘kuula’.

Marais wa CCM wanachokiweza ni kuteua na kutengua, hususan Rais Samia na mtangulizi wake.

Kutwa kucha kuteua tu lakini hawakemei dhana potofu ya ‘kuula’!

Rais mwepesi [lightweight]. Chama tawala ni chepesi. Umma [idadi kubwa] haujielewi.

Typical banana republic.
Mkuu umeiweka kitaalam sana.

Issue ya "kuula" ni kwamba competency na merits zipo kapuni... coolnnection na @$$ licking
 
Mojawapo ya mambo ambayo hawa waitwao ‘viongozi’ wetu wanayaweza ni kuteua na kutengua watu wa kuzijaza nafasi za uongozi hususan serikalini na kwenye idara zake.

Na jambo kubwa linalonichefua sana ni hii dhana ya kuonekana mtu ‘kaula’ anapoteuliwa na Rais kwenye nafasi yoyote ile ya kiuongozi.

Kuna nini cha ‘kula’ kwenye utumishi wa umma wa nchi iliyo maskini kama hii Tanzania yetu?

Kuwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, na kadhalika, kuna nini cha ‘kula’ mpaka iwe shangwe kwa watu pale mtu mmoja anapoteuliwa kwenda kuitumikia hiyo nafasi?

Hayo yote ni matokeo ya udhaifu wa uongozi wa CCM.

Uongozi wa CCM umejenga utamaduni wa kinyumenyume kabisa.

Badala ya kwenda kuwatumikia wananchi, wateuliwa wa serikali za CCM huwa wanajinufaisha wao tu.

Sikumbuki kuona au kusikia popote pale Rais kutoka CCM aliyekemea hii dhana hasi ya ‘kuula’.

Marais wa CCM wanachokiweza ni kuteua na kutengua, hususan Rais Samia na mtangulizi wake.

Kutwa kucha kuteua tu lakini hawakemei dhana potofu ya ‘kuula’!

Rais mwepesi [lightweight]. Chama tawala ni chepesi. Umma [idadi kubwa] haujielewi.

Typical banana republic.
Na wewe siku ukiteuliwa, tambua fika umeula! Maana ghorofa utajenga ndani ya miezi mitatu tu, pasipo kusimamisha ujenzi.

HIi ndiyo Tanzania bhana. Ukiingia tu kwenye mfumo wa kulamba asali, tayari wewe unakuwa ni mtu wa dunia nyingine kabisa! Yaani dunia ya kuula.
 
Lakini kwa nini teuzi za utumishi wa umma zionekane kwenye jamii kama ‘kuula’?

Hii dhana inaakisi jinsi ambavyo jamii ilivyooza.
Kwa maoni yangu, sio kwamba teuzi "zionekane kwenye jamii kama ‘kuula’" ,

teuzi hizi ni kuula, na sababu zake ni;

  • Baada ya teuzi, unakabidhiwa gari la gharama kubwa, likija na dereva na huduma nyingine.
  • Kupanda kwa mshahara na malupulupu mengine kutegemea na nafasi uliyoteuliwa.
  • Mamlaka ya kufanya mengi kujinufaisha binafsi, e.g. kupata viwanja/mashamba katika maeneo mazuri, kushirikishwa katika miradi ya serikali, na hivyo kupata share katika "kupiga"
  • Kuheshimika/kuogopwa na vyombo vya ulinzi na usalama, kutegemea na nafasi uliyoteuliwa.
  • e.t.c

Kwa ufupi, maisha yako yanakua mazuri sana ukilinganisha na yale ya mwananchi wa kawaida. Ndio maana mwananchi huyo wa kawaida, anasema umeula.

Wewe (mteule) hakikisha unamfurahisha aliyekuteua na chama chake basi. Acha umma uendelee kuwa umma.
 
Na wewe siku ukiteuliwa, tambua fika umeula! Maana ghorofa utajenga ndani ya miezi mitatu tu, pasipo kusimamisha ujenzi.

HIi ndiyo Tanzania bhana. Ukiingia tu kwenye mfumo wa kulamba asali, tayari wewe unakuwa ni mtu wa dunia nyingine kabisa! Yaani dunia ya kuula.
Sasa mwananchi akiona hivyo, kwanini asichukulie; teuzi => kuula
Na hii kitu ipo hata( au hasa) kwa viongozi wa kuchaguliwa, ukianza na mteuaji mwenyewe.
 
Mojawapo ya mambo ambayo hawa waitwao ‘viongozi’ wetu wanayaweza ni kuteua na kutengua watu wa kuzijaza nafasi za uongozi hususan serikalini na kwenye idara zake.

Na jambo kubwa linalonichefua sana ni hii dhana ya kuonekana mtu ‘kaula’ anapoteuliwa na Rais kwenye nafasi yoyote ile ya kiuongozi.

Kuna nini cha ‘kula’ kwenye utumishi wa umma wa nchi iliyo maskini kama hii Tanzania yetu?

Kuwa Waziri, Naibu Waziri, Katibu Mkuu, Mkuu wa Mkoa, Mkuu wa Wilaya, na kadhalika, kuna nini cha ‘kula’ mpaka iwe shangwe kwa watu pale mtu mmoja anapoteuliwa kwenda kuitumikia hiyo nafasi?

Hayo yote ni matokeo ya udhaifu wa uongozi wa CCM.

Uongozi wa CCM umejenga utamaduni wa kinyumenyume kabisa.

Badala ya kwenda kuwatumikia wananchi, wateuliwa wa serikali za CCM huwa wanajinufaisha wao tu.

Sikumbuki kuona au kusikia popote pale Rais kutoka CCM aliyekemea hii dhana hasi ya ‘kuula’.

Marais wa CCM wanachokiweza ni kuteua na kutengua, hususan Rais Samia na mtangulizi wake.

Kutwa kucha kuteua tu lakini hawakemei dhana potofu ya ‘kuula’!

Rais mwepesi [lightweight]. Chama tawala ni chepesi. Umma [idadi kubwa] haujielewi.

Typical banana republic.
Sukuma gang naona mnahaha, utawala wenu ulikuwa wa hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom