Teuzi za viongozi wa ngazi za juu katika utumishi wa umma

Teuzi za viongozi wa ngazi za juu katika utumishi wa umma

Kwan kiongozi katika utumishi wa umma Marekani akiteuliwa anakuwa "hajaula"? Mtizamo wangu ni kwamba nao wanaula tu. Sema pia kuna checks za kutosha kuhakikisha kuwa unakula baada ya kufanya kazi kwa tija kwa taifa lao. Tanzania hakuna checks hizo, ni kujilia tu.
 
Ila kuna mengine wala hata hayahitaji uwepo wa katiba mpya.
Ukweli utabaki kuwa wateule wengi wa Rais hupata utajiri usioelezeka katika muda mfupi sana katika nafasi zao!

Hivyo ni kweli wanaula na mtu anapopata uteuzi hufanya sherehe!
 
Back
Top Bottom