Mganguzi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2022
- 1,604
- 3,715
Kuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.
Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?
Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.
Duuuu!!
Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?
Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.
Duuuu!!