Teuzi zile zile, wateuliwa wale wale, kama haujawahi kuwemo hautakuwemo milele

Teuzi zile zile, wateuliwa wale wale, kama haujawahi kuwemo hautakuwemo milele

Mganguzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2022
Posts
1,604
Reaction score
3,715
Kuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.

Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?

Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.

Duuuu!!
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
 
A
Alafu unakutana na kijana amemaliza chuo anatembea na t-shirt ya chama Cha fisiemu akisema "kidumu chama tawala" alafu baadaye yako na bahasha ya khaki akitafuta kazi [emoji1787][emoji1787]
Ajabu sana nchi inawenyewe kweli
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
ULICHOANDIKA SIO UKWELI NAKUPINGA
 
Kuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.

Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?

Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.

Duuuu!!
Mtajuana wenyewe na chama chenu pendwa.,[emoji57]
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Yaani sijakuelewa..kwamba unamaanisha mungu amepanga ajira ni Kwa watu fulani tu? Wengine tunahitaji kujitafuta
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Hivi huwa una changamoto gani kichwani mwako?Unaulizwa sentensi fupi lakini unajibu kitabu kizima.Acha unoko!
 
Hizi teuzi za kujuana ndio zinasababisha uwajibikaji usiwepo.

Jana umemteua kwasababu ya kumjua, kesho akila rushwa TAKUKURU wakianza kushughulika naye unadhani utakubali walale nae 'mbere'?
 
Masikini tuuupo, matajiri tuupoo, watu ni wale wale na vitu ni vile vile walamba asali oooyeee.
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Mungu wa ajabu.
Ameweka makaburu.
Akampa urais Idi Amin
Na Hitler, Bokasa,Mobutu, Trump na wengine sampuli hizi.
Na wote hawa walipewa busara na hekima.
 
Mungu wa ajabu.
Ameweka makaburu.
Akampa urais Idi Amin
Na Hitler, Bokasa,Mobutu, Trump na wengine sampuli hizi.
Na wote hawa walipewa busara na hekima.
Vipi kuhusu mwisho wao, Ukipewa uongozi Basi tumia vyema cheo chako kusaidia na kugusa maisha ya watu lakini ukileta kiburi na kujiona Mungu mtu lazima Mwenyezi Mungu akuache mwenyewe, Hapo utaongoza Kama kipofu na mwisho wako lazima utakuwa mbaya sana
 
Hata mitume wa yesu walikuwa ndugu zake, au wao ni ndugu.
Hata alipokufa alimkabidh uongo petro, mtoto wa magdalena. Magda ni dada yake maria.

Nakuhakikishia kwamba pambana upenye, watoto na wajukuu wako watakuwa anitachabo.
 
Back
Top Bottom