Damu changa wakiteuliwa wanageuka VIFUTU. Mf. Sabaya, Makonda, Mnyeti, Hapi, Gambo, n.kKwanini hatutaki damu changa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Damu changa wakiteuliwa wanageuka VIFUTU. Mf. Sabaya, Makonda, Mnyeti, Hapi, Gambo, n.kKwanini hatutaki damu changa?
MwandosyaMwanaidi Majaar , Mwantumu Mahiza !
Nayo tunaipataje coz wenye kuifanyia kazi ndio haohao walamba asali.Katiba mpya ndio suluhisho.
Bora uteue unaowajua kuliko kuteua wasiojulikana..Kuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.
Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?
Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.
Duuuu!!
Nayo tunaipataje coz wenye kuifanyia kazi ndio haohao walamba asali.
UKISTAAFU UNATEULIWA TENAKuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.
Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?
Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.
Duuuu!!
Usilazimishe uongozi wakati huwezi kujiongoza hata wewe mwenyeweHivi huwa una changsmoto gani kichwani mwako?Unaulizwa sentensi fupi lakini unajibu kitabu kizima.Acha unoko!
Hili gazeti lote, halijajibu hoja ya msingi. Acha kumsingizia Mungu kwakila kitu, halafu kiongozi akiharibu utamtaja Mungu tena au!!!!Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Huo mfumo ulitengenezwa lini na aliuleta nani?? Yalikuepo hayo utumishi Magufuli akayabomoa kabisa ila kwenye uongozi naona bado. System ipi wakati nchi ni ya watanzania wote nanani anakidhi hivyo vigezo mpaka aingie kwenye hiyo system wakati kunawatu wanaelimu na maarifa makubwa kuzidi hao viongozi waliopo saizi.Mfumo ndiyo unataka hivyo
Sasa mnataka nyie muingie na mlete
Na kufanya mapingamizi
Na muende tofauti na wao
Ova
Weka kwenye connection kwenye madili ila sio uongozi, utaua unachokiongoza mfano ni hii nchi yetu. Kuna watu wameongoza familia na koo zao tangu watoto kutokana na wazazi kutokuepo uje umfananishe na mtu ambaye yeye amezoea kila kitu kupewa bila jitihada ambao hao sasa ndio wanaconnection. Tutaangamiza taifa!Bora uteue unaowajua kuliko kuteua wasiojulikana..
Maisha ndivyo yalivyo mkuu huna connection utapiga miayo hadi unazeeka.
Ndugu katika Imani ya mnyaazi Mungu subhanahuh wataallah!!!Mwanaidi Majaar , Mwantumu Mahiza !
Unaandika mambo mengi halafu hakuna maana yoyote. Unamsingizia Mungu upumbafu wa wanadamu tuKuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Basi omba uteuzi au kagombee uchaguzi ukifikaUnaandika mambo mengi halafu hakuna maana yoyote. Unamsingizia Mungu upumbafu wa wanadamu tu