Daddo
JF-Expert Member
- Jan 17, 2013
- 1,435
- 1,025
Huna hoja. Kwa kifupi tu ni kwamba kama huna tatizo la kujenga hoja basi wewe ni mnifaika wa teuzi zinazolalalmikiwa na mtoa madaBasi omba uteuzi au kagombee uchaguzi ukifika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna hoja. Kwa kifupi tu ni kwamba kama huna tatizo la kujenga hoja basi wewe ni mnifaika wa teuzi zinazolalalmikiwa na mtoa madaBasi omba uteuzi au kagombee uchaguzi ukifika
Hata kupigania maslahi ya chadema ni upumbavu, just imagine limwenyekiti limekamata usukan, umri umeenda lkn hataki kuachia ngazi, wakt huo kuna vijana nguvu kazi wanaweza chukua hizo nafasi[emoji23][emoji23].Alafu unakutana na kijana amemaliza chuo anatembea na t-shirt ya chama Cha fisiemu akisema "kidumu chama tawala" alafu baadaye yako na bahasha ya khaki akitafuta kazi [emoji1787][emoji1787]
Hii nipo pamoja na wewe. Unaiona Rwanda saivi Kuna maisha.siamini mabadiliko kwa nchi ya kipumbavu kama hii bila kupitia maumivu ya jasho na damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinacho kwepwa hapo ni kuzalisha wastaafu wengi kwa sababu nao wanahitaji kulipwa hata wakistaafu au waki staafushwa, nadhan nimeelewekaKuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.
Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?
Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.
Duuuu!!
Bila shaka wew ni ukoo wa mwigulu kamasio nape, basi msoga au tufanye mzee wako mkuchika kakutuma uje utetee ulafi wao wa madaraka kwa kivuli cha Mungu...achieni nchi enyi mafisadiKuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Kabisa!siamini mabadiliko kwa nchi ya kipumbavu kama hii bila kupitia maumivu ya jasho na damu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Huyo Mungu mnamsingizia!Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Hawana lolote zaidi kuinajisi Tz tu!Teuzi zile zile, wateuliwa walewale waliotufelisha tulipotoka ndio wanarudishwa leo na kesho, halafu bado kuna wajinga wanaamini hao watu watatusogeza mbele kama taifa.
Mkuu,unakuwaga na kiujinga fulani hivi lakini huwa haujielewi.Tulia kidogo ujitafakari.Usilazimishe uongozi wakati huwezi kujiongoza hata wewe mwenyewe
Duh, kwa hiyo hata hawa akina Mahera na Kingai wamepewa na Mungu hizo nafasi.....!!? No wonder Propesa wa Jalalani alidiriki kumuita yule bwana Mungu.Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Wewe ni mshenzi.Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,
Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi
mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo
Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu
Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Kwani ulishazuiwa kugombea, utalazimishaje kuteuliwa wakati siyo wewe unayeteua ndugu yangu, Kugombea Ni Haki yako ya kisheria lakini kuhusu kuteuliwa muombe mwenyezi Mungu akupe kibali maana fikiria watanzania wapo wangapi,, hata hao watoto wa viongozi nao Ni watanzania na Wana haki ya kuteuliwa Kama unavyotaka wewe, mbona Taifa kubwa Kama marekani baba na mtoto wote walikuwa Marais Tena kwa vipind vya karibu karibu, hapa nazungumzia familia ya Bush, uliona Trumph alipokuwa Rais katika uteuzi wake, usimlaumu mtu katika uteuzi ikitokea umekosa ndugu yangu Wala usiwe na hasira Wala kuniwekea hasira maana hata Mimi siyo kiongozi lakini Sina hasira Kama ulizo nazo wewe, unatukana saiz vipi ukiwa kiongozi si utatupiga vibokoWewe ni mshenzi.
Mungu hana upendeleo na figisu Kama za wanasiasa.
Mtu anatoa rushwa ili apate cheo,unamhusisha Mungu?
Mjinga wewe.
Wewe ni mshenzi.
Mungu hana upendeleo na figisu Kama za wanasiasa.
Mtu anatoa rushwa ili apate cheo,unamhusisha Mungu?
Mjinga wewe.
Huu upumbavu wa kudai katiba nsuo suluhisho utawaisha lin?Katiba mpya ndio suluhisho.