Teuzi zile zile, wateuliwa wale wale, kama haujawahi kuwemo hautakuwemo milele

Teuzi zile zile, wateuliwa wale wale, kama haujawahi kuwemo hautakuwemo milele

Mmekata tamaa ya kubadilisha mfumo sasa mnataka kuingia ndani ya huo mfumo na nyie mlambe asali. Nchi ina watu milioni 60, wangapi watapata teuzi?
 
Mbona watu wanalalamika majina yaleyale kwan kuna mkeka mwingine umetoka huko
 
Labda tuombe wanasiasa wote wafe, ama wale wanasiasa wahuni wahuni wasipate watoto, iki nafasi wanazotarajia kurithishana zije kwa waTz wasio na connection [emoji16][emoji23].

Haya majitu yamejimirikisha nchi, kias kwamba yanajikuta yanahaki ya kumpanga nani awe nafasi fulan na nani asiwe.

Kwa hili, bila Natural Power kuingilia kati yatatutesa haya makina mwigulu, nape, msoga gang na mama yenu ''sir*hundred"
 
Alafu unakutana na kijana amemaliza chuo anatembea na t-shirt ya chama Cha fisiemu akisema "kidumu chama tawala" alafu baadaye yako na bahasha ya khaki akitafuta kazi [emoji1787][emoji1787]
Hata kupigania maslahi ya chadema ni upumbavu, just imagine limwenyekiti limekamata usukan, umri umeenda lkn hataki kuachia ngazi, wakt huo kuna vijana nguvu kazi wanaweza chukua hizo nafasi[emoji23][emoji23].

Siasa kiujumla ni utaperi
 
Kuna watu wamezaliwa mchana wengine usiku wa Giza Totoro. Hivi ni kwanini teuzi zinazunguka kwa watu wale wale? Anatolewa huku anapelekwa kule, hata akistaafu anaambiwa tunakupa kazi ya kukusaidia kukushika mkono.

Inafikia mtu anazeeka anashindwa hata kuandika au kunyanyuka kwenye kiti bado ni mteuliwa. Kwanini hatutaki damu changa? Hawa vijana tunaowasomesha wataajaliwa na nani na wapi?? Teuzi za kujuana na Asante zitaisha lini?

Teuzi za baba yake au mama yake aliitumikia nchi lazima na yeye awemo zitaisha lini? Ikifika hatua ya teuzi mimi huwa napandwa na hasira. Mnawachukua wastaafu mnawaajiri tena. Koo zile zile, kabila zile zile na jamii ile ile.

Duuuu!!
Kinacho kwepwa hapo ni kuzalisha wastaafu wengi kwa sababu nao wanahitaji kulipwa hata wakistaafu au waki staafushwa, nadhan nimeeleweka
 
Katika vitu nilivyoacha kufuatilia ni haya maujinga ya kuteuana teua ujinga mtupu.
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Bila shaka wew ni ukoo wa mwigulu kamasio nape, basi msoga au tufanye mzee wako mkuchika kakutuma uje utetee ulafi wao wa madaraka kwa kivuli cha Mungu...achieni nchi enyi mafisadi
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Aisee! Huyo Mungu mnamsingizia!
 
Teuzi zile zile, wateuliwa walewale waliotufelisha tulipotoka ndio wanarudishwa leo na kesho, halafu bado kuna wajinga wanaamini hao watu watatusogeza mbele kama taifa.
Hawana lolote zaidi kuinajisi Tz tu!
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Duh, kwa hiyo hata hawa akina Mahera na Kingai wamepewa na Mungu hizo nafasi.....!!? No wonder Propesa wa Jalalani alidiriki kumuita yule bwana Mungu.
 
Kuwa mzalendo na ipende nchi yako, Tambua kuwa uongozi unatoka kwa Mwenyezi Mungu ambaye anakufahamu wewe ukiwa bado katika tumbo la mama yako, Hivyo Kama mwenyezi Mungu alikupangia uwe kiongozi atakupatia nafasi ya kuwatumikia watu,

Lakini Kama mwenyezi Mungu hajawahi kukusudia wewe uwe kiongozi kuwatumikia watu, Basi Tambua kuwa hutakaa uwe kiongozi Bali utatumika na kutumikia eneo lingine kulingana na kipawa na kalama uliyo pewa na mwenyezi

mungu hawezi kukuinua uwe kiongozi wakati anajuwa huna wito wa uongozi, huna hekima,huna busara za uongozi,huna uvumilivu Wala Subira, huna kifua Cha kutunza Siri za kiuongozi kwa maslahi mapana ya Taifa letu, huna huruma Wala upendo kwa watu, huna moyo wa kujituma Wala kujishusha, Wala kuwa mnyenyekevu kwa watu, huwaheshimu watu waliokuzidi umri hata Kama umewazidi cheo

Hivyo uongozi Ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu na kwa wewe hufai kuwa kiongozi maana inaonyesha huna uvumilivu Wala Subira, Ni mlalamishi kana kwamba Ni Haki yako wewe kuwa kiongozi, ukipewa uongozi bila Shaka unaweza ukatuumiza sisi ambao siyo viongozi ili uendelee kubaki katika kiti cha uongozi, unaweza ukafanya Jambo lolote lile ilimradi tu ubaki kuwa kiongozi Kama fahari yako badala ya kuona Ni nafasi ya kuwatumikia watu

Uongozi Ni utumishi kwa watu Ila wewe mwenzangu na Mimi inaonyesha unauhitaji wa uongozi ili ujineemeshe mwenyewe, Ndio maana unaona wengine Ni Kama wanafaidi sana na hivyo ungependa nawewe upewe ili ujinufaishe mwenyewe
Wewe ni mshenzi.
Mungu hana upendeleo na figisu Kama za wanasiasa.
Mtu anatoa rushwa ili apate cheo,unamhusisha Mungu?
Mjinga wewe.
 
Wewe ni mshenzi.
Mungu hana upendeleo na figisu Kama za wanasiasa.
Mtu anatoa rushwa ili apate cheo,unamhusisha Mungu?
Mjinga wewe.
Kwani ulishazuiwa kugombea, utalazimishaje kuteuliwa wakati siyo wewe unayeteua ndugu yangu, Kugombea Ni Haki yako ya kisheria lakini kuhusu kuteuliwa muombe mwenyezi Mungu akupe kibali maana fikiria watanzania wapo wangapi,, hata hao watoto wa viongozi nao Ni watanzania na Wana haki ya kuteuliwa Kama unavyotaka wewe, mbona Taifa kubwa Kama marekani baba na mtoto wote walikuwa Marais Tena kwa vipind vya karibu karibu, hapa nazungumzia familia ya Bush, uliona Trumph alipokuwa Rais katika uteuzi wake, usimlaumu mtu katika uteuzi ikitokea umekosa ndugu yangu Wala usiwe na hasira Wala kuniwekea hasira maana hata Mimi siyo kiongozi lakini Sina hasira Kama ulizo nazo wewe, unatukana saiz vipi ukiwa kiongozi si utatupiga viboko
Wewe ni mshenzi.
Mungu hana upendeleo na figisu Kama za wanasiasa.
Mtu anatoa rushwa ili apate cheo,unamhusisha Mungu?
Mjinga wewe.
 
Katiba mpya ndio suluhisho.
Huu upumbavu wa kudai katiba nsuo suluhisho utawaisha lin?
Niosheonyeshe nchi ambayo katiba ilivunja mipaka ya tamaduni..
Kule USA na RSA pamoja na kupata katiba biara wameondoa ubaguzi au ukabila kule Kenya?
 
Back
Top Bottom