Teuzi zile zile, wateuliwa wale wale, kama haujawahi kuwemo hautakuwemo milele

Bora uteue unaowajua kuliko kuteua wasiojulikana..

Maisha ndivyo yalivyo mkuu huna connection utapiga miayo hadi unazeeka.
 
UKISTAAFU UNATEULIWA TENA
 
Hili gazeti lote, halijajibu hoja ya msingi. Acha kumsingizia Mungu kwakila kitu, halafu kiongozi akiharibu utamtaja Mungu tena au!!!!
 
Niliwahi kuandika humu ila ni ngumu kupata hiyo reply, kiufupi unatakiwa kupambana kuingia kwenye siasa kwa nguvu zako na vyovyote unavyoweza Mungu/Allah akiwa mbele, ukitoboa hapo basi hata wajukuu wanakuja kula njiani mwako.

Angalia mfano mtu kama burembo!.
 
Ndio maana huko Zanzibar takukuru hawajapeleka kesi hata moja mahakamani kwa kipindi cha mwaka mzima.

Mambo haya haya ya kulindana.

Tunafunika uoza.
 
Mfumo ndiyo unataka hivyo

Sasa mnataka nyie muingie na mlete

Na kufanya mapingamizi

Na muende tofauti na wao

Ova
Huo mfumo ulitengenezwa lini na aliuleta nani?? Yalikuepo hayo utumishi Magufuli akayabomoa kabisa ila kwenye uongozi naona bado. System ipi wakati nchi ni ya watanzania wote nanani anakidhi hivyo vigezo mpaka aingie kwenye hiyo system wakati kunawatu wanaelimu na maarifa makubwa kuzidi hao viongozi waliopo saizi.
 
Au na wewe umesikia jina Maua Daftari kama mimi?.
 
Bora uteue unaowajua kuliko kuteua wasiojulikana..

Maisha ndivyo yalivyo mkuu huna connection utapiga miayo hadi unazeeka.
Weka kwenye connection kwenye madili ila sio uongozi, utaua unachokiongoza mfano ni hii nchi yetu. Kuna watu wameongoza familia na koo zao tangu watoto kutokana na wazazi kutokuepo uje umfananishe na mtu ambaye yeye amezoea kila kitu kupewa bila jitihada ambao hao sasa ndio wanaconnection. Tutaangamiza taifa!
 
Unaandika mambo mengi halafu hakuna maana yoyote. Unamsingizia Mungu upumbafu wa wanadamu tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…