Tevez Huyooooo!

Tevez Huyooooo!

Junius

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2009
Posts
3,181
Reaction score
144
Following contact received from Carlos Tevez’s advisors last night, in advance of the deadline the Club set for concluding negotiations, Manchester United announces that Carlos will not be signing a new contract with the Club.
The Club agreed to pay the option price of £25.5m and offered Carlos a five-year contract which would have made him one of its highest paid players.
Disappointingly however, his advisors informed the Club that, despite the success he has enjoyed during one of the Club’s most successful periods, he does not wish to continue playing for Manchester United.
The Club would like to thank Carlos for his services over the last two seasons and wishes him good luck for the future.

manutd.com
 
Inaonesha yeye na watu wanaozunguka wana tamaa ya faranga kinyama. Ila akienda timu ovyoovyo atakuwa irrelevant muda si mrefu.
 
Inaonesha yeye na watu wanaozunguka wana tamaa ya faranga kinyama. Ila akienda timu ovyoovyo atakuwa irrelevant muda si mrefu.

Hapana Abdulhalim, Tevez alikuwa na hamu sana ya kubaki MANU kwa muda mrefu lakini kama kawaida ya SAF akawa haonyeshi kumthamini na mara nyingi kumweka benchi hadi plae alipokuwa desperate katika baadhi ya mechi ndiyo alipomuingiza. Jinsi alivyoisaidia MANU kuupata ushindi wa EPL 2009, SAF ilibidi amuonyeshe respect angalau kidogo lakini wapi. Baada ya Ronaldo kuamua kuondoka ndiyo SAF na management wakawa desperate kutaka kumbakisha. Mimi namuunga mkono Tevez kwamba kafanya uamuzi mzuri. Huyu SAF inabidi aanze kujifunza namna ya kuwaheshimu wachezaji wake hasa ambao mchango wao umeiletea mafanikio makubwa MANU.
 
swala lake ni kama la flamini anaona kama kawakomoa man united hapo.

Ishu ya Flamini nasikia iligomba eti pauni elfu 5 kwenye mshahara..kibabu Wenger kikakomaa hadi jamaa akajiondokea. Hata hivyo Flamini ameula wa chuya yeye na Hleb wake, wanabaki kulilia mto wakati daraja wameliunguza wenyewe.

Tevez nasikia alitaka alipwe mshahara mkubwa zaidi kuliko watu wote Man U pamoja na kwamba tayari anakamata pauni 90,000 kwa wiki. Wapambe wake nao ni nuksi ..kuna huyo muirani mwenye kukamata madocument yake naye anataka amalize shida zake zoote kwa kutumia mgongo wa Tevez..

Yetu macho tuone itakavyokuwa.
 
Hapana Abdulhalim, Tevez alikuwa na hamu sana ya kubaki MANU kwa muda mrefu lakini kama kawaida ya SAF akawa haonyeshi kumthamini na mara nyingi kumweka benchi hadi plae alipokuwa desperate katika baadhi ya mechi ndiyo alipomuingiza. Jinsi alivyoisaidia MANU kuupata ushindi wa EPL 2009, SAF ilibidi amuonyeshe respect angalau kidogo lakini wapi. Baada ya Ronaldo kuamua kuondoka ndiyo SAF na management wakawa desperate kutaka kumbakisha. Mimi namuunga mkono Tevez kwamba kafanya uamuzi mzuri. Huyu SAF inabidi aanze kujifunza namna ya kuwaheshimu wachezaji wake hasa ambao mchango wao umeiletea mafanikio makubwa MANU.

Mazee ktk klabu kubwa kama Man U hamna mchezaji aliye juu ya kocha na hiyo ndo principle ya SAF..ndo maana alimuuzilia mbali Beckham ingawa alikuwa kwenye peak na bado jahazi likasonga mbele..hio ndo tofauti ya SAF na mameneja wengine..yaani yeye hataki kuwa second kwa yeyote.

Technically mimi nimemsoma na kumuelewa kwa sababu sometimes alitaka kutumia formation ya striker mmoja..sasa hawezi kupangua fomesheni kumfurahisha Tevez. Pili lazima tuzingatie kuwa Tevez alikuwa kwa mkopo wakati ikumbukwe kuwa alimnunua Berba kwa club rekodi fee..sasa ingekuwa ajabu ampange Tevez zaidi wakati Berba ni mchezaji wa Man U na amenunuliwa kwa fedha nyingi kucheza. Nadhani Tevez alishaanza kujiona amepanda chati akasahau kuwa SAF hanaga masiara kwenye kazi yake.
 
Mazee ktk klabu kubwa kama Man U hamna mchezaji aliye juu ya kocha na hiyo ndo principle ya SAF..ndo maana alimuuzilia mbali Beckham ingawa alikuwa kwenye peak na bado jahazi likasonga mbele..hio ndo tofauti ya SAF na mameneja wengine..yaani yeye hataki kuwa second kwa yeyote.

Technically mimi nimemsoma na kumuelewa kwa sababu sometimes alitaka kutumia formation ya striker mmoja..sasa hawezi kupangua fomesheni kumfurahisha Tevez. Pili lazima tuzingatie kuwa Tevez alikuwa kwa mkopo wakati ikumbukwe kuwa alimnunua Berba kwa club rekodi fee..sasa ingekuwa ajabu ampange Tevez zaidi wakati Berba ni mchezaji wa Man U na amenunuliwa kwa fedha nyingi kucheza. Nadhani Tevez alishaanza kujiona amepanda chati akasahau kuwa SAF hanaga masiara kwenye kazi yake.

Lakini ujue kwamba wachezaji wanaongea na katika kuongea sifa mbaya za SAF katika treatment ya wachezaji inazidi kufahamika zaidi baada ya muda utakuta wachezaji wazuri wengi wanakacha kusign na MANU, maana kuna mifano hai ya wachezaji ambao waliondoka kutokana na kutoridhika na treatment waliyoipata. List inazidi kuongezeka tu kwanza Beckham, Ronaldo, Tevez sijui ni yupi atakayefuata. Kwa jinsi nilivyomuona TEVES sidhani kama alijiona amepanda chart bali alitaka opportunity tu ya kucheza na kuisaidia timu kitu ambacho alikifanya katika mechi nyingi alizopewa nafasi. Hata mechi yake ya mwisho wapenzi walimpa standing O kwa jinsi walivyompenda na kumuona kwamba alikuwa mchezaji ambaye alicheza kwa uwezo wake wote alipokuwa uwanjani ili kuhakikisha ushindi.
 
Nilijua tu angeondoka, si wote tulimwona siku ile baada ya game ya gunners alivyokuwa akiwaaga mashabiki? Alishagundua kuwa no matter how hard angejituma au magoli angefunga- bado babu Fergie angempiga bench, na yeye anajijua kuwa sio mtu wa bench na alikuwa anahofu kwamba angeendelea kukaa pale ingeweza mcost nafasi yake kwenda Sauzi mwakani. Time to pull out your wallet Mr Wenger, show us some magic!
 
Lakini ujue kwamba wachezaji wanaongea na katika kuongea sifa mbaya za SAF katika treatment ya wachezaji inazidi kufahamika zaidi baada ya muda utakuta wachezaji wazuri wengi wanakacha kusign na MANU, maana kuna mifano hai ya wachezaji ambao waliondoka kutokana na kutoridhika na treatment waliyoipata. List inazidi kuongezeka tu kwanza Beckham, Ronaldo, Tevez sijui ni yupi atakayefuata. Kwa jinsi nilivyomuona TEVES sidhani kama alijiona amepanda chart bali alitaka opportunity tu ya kucheza na kuisaidia timu kitu ambacho alikifanya katika mechi nyingi alizopewa nafasi. Hata mechi yake ya mwisho wapenzi walimpa standing O kwa jinsi walivyompenda na kumuona kwamba alikuwa mchezaji ambaye alicheza kwa uwezo wake wote alipokuwa uwanjani ili kuhakikisha ushindi.

Here we go again lol! Hivi issue ya Tevez unaijua vizuri au unaongea kishabiki kama kawaida?
However, after declaring earlier this season he was deeply unhappy at a perceived lack of match action - even though he made more appearances than either Wayne Rooney or Dimitar Berbatov, it was always likely the South American would move on.
Kuna wachezaji kama akina Giggs, Scholes, Brown ,Neville wamekaa Man U maisha yao mengi ya uchezaji mpira hao nao utasemaje?
 
Tevez alikuwa ameshaanza kiburi na fergie ukishamuonyesha kiburi lazima akung'oe.
akiwa sub anajidai kushikilia beji ya manu na kuibusu huku washabiki wakimshangilia - kwa fergie ukifanya hivyo lazima akuong'oe
 
Tevez alikuwa ameshaanza kiburi na fergie ukishamuonyesha kiburi lazima akung'oe.
akiwa sub anajidai kushikilia beji ya manu na kuibusu huku washabiki wakimshangilia - kwa fergie ukifanya hivyo lazima akuong'oe

Tevez hajang'olewa, ameng'oka mwenyewe!
 
wacha waipate freshi walimnyanyasa vya kutosha,ameumizwa vya kutosha kisa wanatamani nafasi yake wawape rafiki zao wa ureno sasa sir alex fegi kiburi yake itamtokea puani mpaka leo na pesa zake hajui wa kumsajili hii itakuwa fundisho kati ya wachezaji anowataka hakuna anayefanana na teves ferdha kando na uwezo kando kila akigusa anapigwa dau karibu na ronaldo atajuuta kummfahamu teves ni hii itamjengea heshima kubwa kijana huyu wa argentina.
 
wacha waipate freshi walimnyanyasa vya kutosha,ameumizwa vya kutosha kisa wanatamani nafasi yake wawape rafiki zao wa ureno sasa sir alex fegi kiburi yake itamtokea puani mpaka leo na pesa zake hajui wa kumsajili hii itakuwa fundisho kati ya wachezaji anowataka hakuna anayefanana na teves ferdha kando na uwezo kando kila akigusa anapigwa dau karibu na ronaldo atajuuta kummfahamu teves ni hii itamjengea heshima kubwa kijana huyu wa argentina.

Humjui Furgerson wewe. Ni kocha pekee asiye na masihala katika usajili.
Mchezaji mzuri yeyote duniani anaweza kumsajili.
lakini ana vigezo kaviweka. NIDHAMU. Ukikosa hicho hata kama wewe ni mchezaji mzuri kiasi gani, benchi utalisugua na ushindi kwake is still obvious.
 
wacha waipate freshi walimnyanyasa vya kutosha,ameumizwa vya kutosha kisa wanatamani nafasi yake wawape rafiki zao wa ureno sasa sir alex fegi kiburi yake itamtokea puani mpaka leo na pesa zake hajui wa kumsajili hii itakuwa fundisho kati ya wachezaji anowataka hakuna anayefanana na teves ferdha kando na uwezo kando kila akigusa anapigwa dau karibu na ronaldo atajuuta kummfahamu teves ni hii itamjengea heshima kubwa kijana huyu wa argentina.

....inaelekea wewe ni mgeni kwenye soka........na hasa kwa huyu babu SAF......hivi unajua/unakumbuka Ronaldo aliendaje OT...........
 
Humjui Furgerson wewe. Ni kocha pekee asiye na masihala katika usajili.
Mchezaji mzuri yeyote duniani anaweza kumsajili.
lakini ana vigezo kaviweka. NIDHAMU. Ukikosa hicho hata kama wewe ni mchezaji mzuri kiasi gani, benchi utalisugua na ushindi kwake is still obvious.

Kuna wachezaji aliwataka na walikataa kwenda, mfano Ronaldhino na hivi karibuni Obi Mikel, sio kila mchezaji anataka kucheza @ Utd kama munavyotaka tuamini, kuna wachezaji hasa hawa wa South America hawataki kabisa kuishi huko Manchester especially kama wana watoto, ni mji mmoja boring sana na mvua haziishi kila siku, akina Veron, kleberson walishindwa kabisa ku-adapt na hata Ronaldo kuhama kwake imechangia kwa kiasi kikubwa na weather ya Manchester.
 
Kuna wachezaji aliwataka na walikataa kwenda, mfano Ronaldhino na hivi karibuni Obi Mikel, sio kila mchezaji anataka kucheza @ Utd kama munavyotaka tuamini, kuna wachezaji hasa hawa wa South America hawataki kabisa kuishi huko Manchester especially kama wana watoto, ni mji mmoja boring sana na mvua haziishi kila siku, akina Veron, kleberson walishindwa kabisa ku-adapt na hata Ronaldo kuhama kwake imechangia kwa kiasi kikubwa na weather ya Manchester.

-Veron na Kleberson, style ya uchezaji wa England iliwashinda kuadopt. Kama kumbukumbu yako ni nzuri fuatilia mahojiano ya Fergie ya May 7 2002 alisema nini kuhusu Veron na isitoshe Veron hakutaka kwenda Chelsea alitaka kubaki Manchester "to fight for his place"

-Ronaldo, alishasema kuwa tangu utotoni dream yake ni kucheza Real Madrid, Kumbuka amekaa Manchester miaka sita, hiyo weather kumshinda imeanza season iliyopita au?
"After we won the European Cup. I thought there is no more I can achieve here,'' the Portuguese told the News of the World.

"And when you have done all you can, you know it is time for a new challenge. I stayed one more season and it was nice to make it three titles in a row but it was my dream to play for Madrid."

Sasa kama Manchester weather ni mbaya, mbona huyu Tevez anafikiria kwenda Man Cit au mvua huwa hainyeshi hapo Maine Road?
Manchester City and Chelsea are the favourites to sign Carlos Tevez after he decided against signing a lucrative new deal at Manchester United because he ''wasn't the most wanted person'' at Old Trafford, according to his advisor Kia Joorabchian.


United chief executive David Gill had been in discussions with Joorabchian, with the aim of keeping the popular Argentina forward. But, despite the offer of a five-year contract that would have made Tevez one of the highest paid players at the club, the 25-year-old has decided to leave.

According to Joorabchian, Tevez ruled out the prospect of moving to Liverpool as a mark of respect to United fans, but appears interested in the possibility of joining City or Chelsea.

Joorabchian told TalkSport: ''We ruled Liverpool out because of the competitive nature of Manchester United and Liverpool. He has a lot of respect and a lot of love for the fans of Man United and I think he would rule Liverpool out as being the biggest competitor.

''City and Chelsea probably would be the two clubs that are on the table. City have obviously been in contact with us. I've spoken to (City executive chairman) Garry (Cook) and to (manager) Mark (Hughes) on several occasions.

''We haven't talked to them about a contract, we haven't talked to Chelsea either about that because we've respected the fact that Carlos is a Manchester United player.

''Without getting into the point of whether he's going to City or Chelsea or wherever, the issue is that I think Carlos wants to go to a club which has real ambition, a club which is showing intent, a club which he can help achieve great things.

''City have shown a lot of ambition with the players they've brought in in the last year or so, and Chelsea are also showing a lot of ambition - they want to win the Champions League. Both have that ambition.

''What is important is Carlos is very happy in England. He's extremely settled down, his family is in very good shape here, they love the country. He wants to stay here.

''He's basically given away with the two European clubs that have come to him. He hasn't totally disregarded the option but he's put it down his pecking order and I think he'd want to stay in the Premier League.''

Joorabchian insisted the decision to reject a five-year deal at Old Trafford was not down to money so much as the fact United left it so late to put an offer on the table.

He said: ''I don't think it's correct to say 'his face doesn't fit'. He was very much a part of the Manchester United team the last two years but clearly the last one year he's been very disappointed.

''I think he's been even more disappointed that it has to come to the fact that the loan deal finishes.

''If it was, let's say, Wayne Rooney's contract finishing six months before, or Cristiano Ronaldo's contract finishing six months before, would they have offered a better deal to them at that time or would they have tried to secure their services a bit sooner?

''He has that little bit of a feeling that maybe he wasn't the most wanted person at United. Rightly or wrongly, that's how he feels.

''I personally think United made a fantastic contribution to try to secure him with a last-ditch offer but I think it was a little bit too late and there wasn't enough time for Carlos to think about it.''

Joorabchian admitted his client would be leaving Old Trafford with a heavy heart.

''I think Carlos is not happy, he's a little bit sad,'' he said. ''He's had two years at club and enjoyed two great years. They've won two Premier League titles, one Champions League title, one Carling Cup in his time and he's quite sad.

''They didn't really give him any offers for two years. Over the duration of two years there was a lot of talk about signing him but we never actually got to the point of actually receiving any offers for him.

''The offer of Manchester United was a very good offer. It came about 10 days ago. It was the loan price of £9million plus the final option price of £25.5m. They made him a good contract but Carlos needed time.

''I want to make it very, very clear: we never ever at any time asked them for more money, or any kind of money - never at any point during the last two years.

''Even after they made their offer we never asked for more money. We never spoke about that. I think Carlos just felt over the last two years they hadn't made the effort to sign him and he needed a little bit of time.

''I think they were under a time restraint with all the situation that was going on and we couldn't get there in time.''

Tevez will now take some time to consider his options, with Joorabchian expecting a decision to be known by the first week in July.

And there will be no future issues with who owns the player's rights, with the next deal set to be a permanent one.

Joorabchian added: ''The Premier League have changed their rules now when you do make a transfer it has to be a permanent transfer. All his rights will be sold, all his economical rights will be sold and he will belong to the club that he will play for.

''Pre-season will start somewhere between 9 and 12 July. He will have to start wherever he starts by 11, 12 July.

''So, by the first week of July, there will be a decision made, a contract signed and a club announced.''
 
Last edited:
Hapana Abdulhalim, Tevez alikuwa na hamu sana ya kubaki MANU kwa muda mrefu lakini kama kawaida ya SAF akawa haonyeshi kumthamini na mara nyingi kumweka benchi hadi plae alipokuwa desperate katika baadhi ya mechi ndiyo alipomuingiza. Jinsi alivyoisaidia MANU kuupata ushindi wa EPL 2009, SAF ilibidi amuonyeshe respect angalau kidogo lakini wapi. Baada ya Ronaldo kuamua kuondoka ndiyo SAF na management wakawa desperate kutaka kumbakisha. Mimi namuunga mkono Tevez kwamba kafanya uamuzi mzuri. Huyu SAF inabidi aanze kujifunza namna ya kuwaheshimu wachezaji wake hasa ambao mchango wao umeiletea mafanikio makubwa MANU.
Mbona hujaelezea issue ya FLAMINI mkubwa?
Ukweli ni kwamba MAN U hawakutaka kumsajili TEVEZ tangu mwanzo na walishafanya uamuzi huo mapema wakaja kukumbuka shuka asubuhi
Popote atakapokwenda still atakumbukwa Old Trafford tunamtakia kila la heri
Naamini ataenda kwa jirani zetu Man City
 
Kuna wachezaji aliwataka na walikataa kwenda, mfano Ronaldhino na hivi karibuni Obi Mikel, sio kila mchezaji anataka kucheza @ Utd kama munavyotaka tuamini, kuna wachezaji hasa hawa wa South America hawataki kabisa kuishi huko Manchester especially kama wana watoto, ni mji mmoja boring sana na mvua haziishi kila siku, akina Veron, kleberson walishindwa kabisa ku-adapt na hata Ronaldo kuhama kwake imechangia kwa kiasi kikubwa na weather ya Manchester.
Acha kutudanganya Ronaldinho aligoma kwenda Uingereza na alichagua Spain kwa sababu ya hali ya hewa na sio Ferguson Obi Mikel na Roben ilikuwa waje OT na aliyefanya mipango ni mzee wa FITINA PETER KENYON alivyochukuliwa na Abromovic akawashawishi wote wasiende Man United

Na Beckham,Ruud,Stam,Forlan nao walihama kwa sababu ya hali ya hewa?
Kitu kingine ni kuwa kila mchezaji anaisifia timuanayoichezea aukocha anamfundisha kwa wakati ule akishatoka anaanza kumkashifu
 
Back
Top Bottom