Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Bila mashabiki kwa maana TFF wametuana mashabiki ni misukuleHii script imechorwa tu vizuri mechi isichezwe jumamosi,..
2025 hii kila platform kubwa lazma itumike..
Na platform kubwa ya kimichezo ni game ya Simba na yanga
Isingewezekana mechi kuchezwa pale bila mhusika mkuu kuwepo,
game itapangiwa tarehe nyingine huku ratiba zote zikiangaliwa vizuri mambo yasije yakaingiliana tena na team zote zitatokea uwanjani na kitapigw
TTF wamekosa uaminifu, (credibility)