TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

Hii script imechorwa tu vizuri mechi isichezwe jumamosi,..
2025 hii kila platform kubwa lazma itumike..
Na platform kubwa ya kimichezo ni game ya Simba na yanga
Isingewezekana mechi kuchezwa pale bila mhusika mkuu kuwepo,
game itapangiwa tarehe nyingine huku ratiba zote zikiangaliwa vizuri mambo yasije yakaingiliana tena na team zote zitatokea uwanjani na kitapigw
Bila mashabiki kwa maana TFF wametuana mashabiki ni misukule

TTF wamekosa uaminifu, (credibility)
 
Hahahah we dogo una kipaji kikubwa cha kuchekesha. Cheka Tu au Watu Baki inabidi wakuone asee
We ni aina ya kizazi cha ovyo tulichonacho hapa Tanganyika
 
Hii script imechorwa tu vizuri mechi isichezwe jumamosi,..
2025 hii kila platform kubwa lazma itumike..
Na platform kubwa ya kimichezo ni game ya Simba na yanga
Isingewezekana mechi kuchezwa pale bila mhusika mkuu kuwepo,
game itapangiwa tarehe nyingine huku ratiba zote zikiangaliwa vizuri mambo yasije yakaingiliana tena na team zote zitatokea uwanjani na kitapigw
Mambo yako wazi kama uchi wa mbuzi
Siku sio nyingi utamwona mama kutoka jumba jeupe anasuluhisha mgogoro hewa.
Na kuahidi atakuwepo kama mgeni rasmi na watu watapiga makofi
 
Akili za Watanganyika wajinga ndo mifano yenu
Pole sana manara alisema yanga hawana akili unadhihirisha ulichoandika toka jana mishipa ilikakamaa leo unakiri mwenyewe kuwa wewe ni msukure wa viongozi wako!
 
We ni aina ya kizazi cha ovyo tulichonacho hapa Tanganyika
Hahahah. Mimi ni kizazi cha dhahabu. Kizazi changu ndiyo soon tutakuwa tunaongoza hii nchi yenu.

Magufuli angepata awamu nyingine moja angeifutilia mbali Yanga maana alishagundua ni kikundi cha wahuni.
 
Pole sana manara alisema yanga hawana akili unadhihirisha ulichoandika toka jana mishipa ilikakamaa leo unakiri mwenyewe kuwa wewe ni msukure wa viongozi wako!
Akili imeanza kumrudi sasa anagundua viongozi wa klabu yake ni wahuni tu na wababaishaji
 
Hahahah. Mimi ni kizazi cha dhahabu. Kizazi changu ndiyo soon tutakuwa tunaongoza hii nchi yenu.

Magufuli angepata awamu nyingine moja angeifutilia mbali Yanga maana alishagundua ni kikundi cha wahuni.
Sawa
 
Tukubali kuwa mpira wetu ni maigizo, huu mpira unaendeshwa na wanasiasa. Ukiona mtu anailaumu bodi ya ligi na tff huyo ni mgeni kwenye Mpira wa bongo.
Hii mechi itapangiwa tarehe na itachezwa. Kama vile ambavyo lilisha sakata la Feitoto na hili nalo litamalizwa kwa staili hiyo.
 
Tukubali kuwa mpira wetu ni maigizo, huu mpira unaendeshwa na wanasiasa. Ukiona mtu anailaumu bodi ya ligi na tff huyo ni mgeni kwenye Mpira wa bongo.
Hii mechi itapangiwa tarehe na itachezwa. Kama vile ambavyo lilisha sakata la Feitoto na hili nalo litamalizwa kwa staili hiyo.
Tuna safari ndefu
 
Ndo maana nawaangalia mizuzu ya Yanga inavyotoa mishipa.ya shingo..
Hatucheziii
Hatucheziii
Tunaataka point 3
Pumbavuuu kucheza mtacheza na point tatu hampati...
 
Hahaha. Hii inaitwa kuamka kwa kuchelewa sana. Ila bora umeamka.
 
Ndo maana nawaangalia mizuzu ya Yanga inavyotoa mishipa.ya shingo..
Hatucheziii
Hatucheziii
Tunaataka point 3
Pumbavuuu kucheza mtacheza na point tatu hampati...
Kwaresma imeisha kwani?
We siulituaga hapa ukasema umefunga kuingia Jamii forums hadi Yesu afufuke 😃🤣
Unafiki wako Sasa
Umetengua swaumu kuja kubishana
 
Kwaresma imeisha kwani?
We siulituaga hapa ukasema umefunga kuingia Jamii forums hadi Yesu afufuke 😃🤣
Unafiki wako Sasa
Umetengua swaumu kuja kubishana
Yaniiiii mtani niombeeeee 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 nilisema nitaingia tuu JF ila huku sport sikanyagi ila daaah hizi mada za derby zimekua nyingi na zinakeraaaa...kwa sbb nakuta notification 200 plus... ila naondoka kweli sirudi tena humu mpk Yesu afufuke..😊😊😊😊
 
Back
Top Bottom