TFF, Bodi ya ligi, Simba na Yanga mna agenda Moja, mnatuona mashabiki malofa

Atawaalika viongozi wa yanga na Simba ikulu kula nao, atatoa 200 million kwa kila mmoja kwa kigezo cha kulieshimisha taifa kimataifa then atawatangazia kuwa mgeni rasmi kweye derby
Mganga wangu kaniambia hivyo
 
🤣😃Nisikuone huku we kolo hadi Yesu afufuke tutakuwa tushachukua points 3 na makolo wameshuka daraja
 
Hyjataja mmoja wao SERIKALI.
 
Usiseme "hazipo serious kama tunavyodhani" , sema "hazipo serious kama nilivyodhani" maana tulikuambia muda mrefu toka juzi hiyo mechi itachezwa na hakuna wakupewa points za mezani wewe ukakaza fuvu na maneno kibao ya kujiapiza kuwa labda sio kwa Young Africans.
Na kwa taarifa yako ni wewe tu ndio ulikuwa serious na maneno ya kina Arafat mashabiki wenzako wengi jana baada ya kuliona gari bunju wamefurahia na kushare hiyo habari kwa furaha mitandaoni ikionyesha ni wazi suala la mechi kurudiwa hata wao wanalitamani litokee
 
Atawaalika viongozi wa yanga na Simba ikulu kula nao, atatoa 200 million kwa kila mmoja kwa kigezo cha kulieshimisha taifa kimataifa then atawatangazia kuwa mgeni rasmi kweye derby
Mganga wangu kaniambia hivyo
Tena ukizingatia mwezi wa Ramadhani huu atatoa mwaliko wa Iftaar na picha litaishia hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…