Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Hahahahaahah
Huko kwenye timu zao za majeshi mbona hakuna ushindani wowote wanao, utoa? Zaidi ya ubabe we nenda ligi daraja la kwanza huko, ndio utaona timu za majeshi zinavyofanya undaval waulize ile timu ya arusha wakaona isiwe tabu, bora kujitoa. Wewe ligi inaendelea mala mchezaji anatakiwa kwenda kozi!!!Nampongeza my.Rais kwa kutoa wazo la kujumuisha wachezaji kutoka jeshini kwenye kikosi cha timu ya Taifa cha mpira wa miguu.Hali hii itazidi kukifanya kikosi cha timu ya Taifa ya mpira wa miguu.
Ni heshima kubwa kwa rais iwapo TFF wafanyie kazi wazo hili.
Wanapenda sana kula FUNGIKuna washkaji zangu wajeda walikua wanacheza JKToljoro kabla haijawa timu Ya RC Gambo kesho yake wana mechi unakuta wanakula fungi ukimuuliza VIP mbn mnalewa na kesho mechi anakwambia me timu hata ishuke daraja me nimjeshi mshahara wangu uko palepale . hawana uzalendo wowote .tatizo uyu Mzee anachukuliaga kila kitu ni maguvu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jkt Tanzania,Tanzania Prisons,Rhino Rangers,Jkt Mlale,Oljoro Jkt,Police Dodoma hizo timu unazijua? Zimewahi kufika wapi?Nampongeza my.Rais kwa kutoa wazo la kujumuisha wachezaji kutoka jeshini kwenye kikosi cha timu ya Taifa cha mpira wa miguu.Hali hii itazidi kukifanya kikosi cha timu ya Taifa ya mpira wa miguu.
Ni heshima kubwa kwa rais iwapo TFF wafanyie kazi wazo hili.
Tumuombee amechoka,anavyoomba aombewe akili zake anazijua mwenyewe zimestuck.Sio kila wazo analotoa Rais ni sahihi.
Hajajiuliza kwa nini timu za majeshi hazijawahi kuchukua hata kombe la ligi.
Kama kigezo cha uchezaji ni uanajeshi basi tungeshuhudia taifa la Marekani likiwa linatunyanyasa duniani kwa soka lao matata.
Wazo pofu