Lady Mwali
Senior Member
- Nov 15, 2018
- 147
- 333
Nampongeza Rais Magufuli kwa kutoa wazo la kujumuisha wachezaji kutoka jeshini kwenye kikosi cha timu ya Taifa cha mpira wa miguu. Hali hii itazidi kukifanya kikosi cha timu ya Taifa ya mpira wa miguu kuwa imara.
Ni heshima kubwa kwa rais iwapo TFF wafanyie kazi wazo hili.
Ni heshima kubwa kwa rais iwapo TFF wafanyie kazi wazo hili.