Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Ili ligi ikue zaidi, inatakiwa pia kombe(trophy) liwe kama identity pia, Yanga alipochukua ubingwa mara 3 alipewa makombe yenye muonekano tofauti, nilijiuliza hivi kweli hii ni ligi au bonanza ,? Nikajiuliza hivi kwanini mpira wetu unaendeshwa na mambumbu?
Pale uingereza wana aina moja ya taji la ligi kuu toka 1992, halibadiliki badiliki ovyo, na haitakiwi mtu alikopi , hiyo pia inaongeza brand ya ligi, hebu fikiria kila msimu pale EPL, au laliga wangekuwa wanakurupuka na miundo tofauti ya mataji ya ligi kuu,
Tff inaendeshwa na wachumia tumbo,wasiojifunza kinachoendelea duniani, ndio maana timu moja inakuwa na viporo 10, kipind kama hiki inajulikana ratiba ya CAF, na michuano mingine , lakin msimu ujao ratiba itachezewa ovyo ovyo ,
Natamani siku moja mpira wa Tanzania wapewe wanaoujua mpira na kuufikisha sehemu Fulani,
Kwa ligi yetu kwasasa bingwa alitakiwa awe anapata angalau million 300, lakin eti anapewa million 80, na mwaka huu haijulikani, huenda asipate chochote,
ANGALIA. ..HAYA MAKOMBE YOTE ETI YA LIGI KUU TANZANIA LAKINI kila akija kiongoz anakuja na muundo wake , hii haikubaliki , soka letu mnalizika taratibu
Pale uingereza wana aina moja ya taji la ligi kuu toka 1992, halibadiliki badiliki ovyo, na haitakiwi mtu alikopi , hiyo pia inaongeza brand ya ligi, hebu fikiria kila msimu pale EPL, au laliga wangekuwa wanakurupuka na miundo tofauti ya mataji ya ligi kuu,
Tff inaendeshwa na wachumia tumbo,wasiojifunza kinachoendelea duniani, ndio maana timu moja inakuwa na viporo 10, kipind kama hiki inajulikana ratiba ya CAF, na michuano mingine , lakin msimu ujao ratiba itachezewa ovyo ovyo ,
Natamani siku moja mpira wa Tanzania wapewe wanaoujua mpira na kuufikisha sehemu Fulani,
Kwa ligi yetu kwasasa bingwa alitakiwa awe anapata angalau million 300, lakin eti anapewa million 80, na mwaka huu haijulikani, huenda asipate chochote,
ANGALIA. ..HAYA MAKOMBE YOTE ETI YA LIGI KUU TANZANIA LAKINI kila akija kiongoz anakuja na muundo wake , hii haikubaliki , soka letu mnalizika taratibu