William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,761
- 2,391
Nilihisi haya Mambo yatakuwa hivyo. Nikiwa nasubiri nione Nini kilijili Sioni dalili za Tff kutoa ufafanuzi kwa Uma Nini kilichotokea na wao walitumia vipengere gani kuamua Hilo swala.
Kama maamuzi yameishatolewa kwanini waendelee kusita kutoa ufafanuzi kamili.
Kama maamuzi yameishatolewa kwanini waendelee kusita kutoa ufafanuzi kamili.