BuDDaH MBiSHi
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 468
- 495
Hapo sasa?... Maana mshahara wenyewe hautaki... Ata wakikata haimsumbui Fei maana wamesahau kama wamerudisha zile Mil. 112 ambazo ni za muda ulobaki klabuni.Club itamuadhibu vp? Kwa kumkata mshahara ambao hautaki? Au watamchapa viboko?