BuDDaH MBiSHi
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 468
- 495
Hapo sasa?... Maana mshahara wenyewe hautaki... Ata wakikata haimsumbui Fei maana wamesahau kama wamerudisha zile Mil. 112 ambazo ni za muda ulobaki klabuni.Club itamuadhibu vp? Kwa kumkata mshahara ambao hautaki? Au watamchapa viboko?
Unao uhakika na ulichokiandika kisheria?....Fei hata aene CAS hatoboi kwenye hii ishu! Mbona iko wazi tu!!
Wewe mbumbumbu wa Simba hebu toa makasiliko Yako hapaUmeandika pumba tupu... Wewe Benard alikua na kesi na Yanga... Pia CAS waliamua na hawana interest na SSC wale maana Yanga walihisi TFF aliwaonea kumbe ndo haki... Ila hili la Fey makandokando mengi ikiwemo mashikizo
Acha ujinga wewe hakuna aliye kasirika hapo tunaeleweshana tu.... Kiboko ya makandokando ya wanasiasa wenu ni CAS tu.Wewe mbumbumbu wa Simba hebu toa makasiliko Yako hapa
Hahaha Kwann wasiwapigie kelele viongozi kwa kumpa maslahi yasiyolingana na kiwango chake uwanjani?Leo Feisal kapost tangazo la Tigo kwa page yake,acha mashabiki wa Yanga wavamie na kuanza kumporomoshea matusi,unabaki unajiuliza hivi kwa style hii huyo Fei Toto atarudi kweli au itabidi kina Mgongolwa wakambebe kwa nguvu wampeleke pale Jangwani [emoji3][emoji3].Feisal hana dalili zozote za kurudi Yanga tena.
Hahahaha. Hawa jamaa hawa.Hapo sasa?... Maana mshahara wenyewe hautaki... Ata wakikata haimsumbui Fei maana wamesahau kama wamerudisha zile Mil. 112 ambazo ni za muda ulobaki klabuni.
Kwa nini waliitoa public?Hata hujiulizi kwanini ile taarifa ya mwanzo TFF waliitoa public?
Utopolo mmejaa ujinga mwingi sana.
Huna uwezo wa kunikalisha kimya, jifunze kujibu Kwa hoja badala ya mihemkoWe kaa kimya auna lolote unalolijua kwenye masuala ya mikataba naona unapuyanga tu, Mwenye mamlaka ya kumuadhibu ni klabu yake inayommiliki na sio kamati, Kamati kazi yake ilikuwa ni kuthibitisha kama yuko huru ama lah kama alivyodai yeye kuwa kavunja mkataba ndio maana aonekani kambini, Sasa jukumu la kumuadhibu sio la kamati kwakuwa sio msingi wa kesi husika wenye ilo jukumu ni waajiri wake wanaommiliki