TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside

TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,420
Reaction score
18,298
TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside.

===

TFF WACHOMOA 'BETRI' KWA MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS NAMUNGO, AFUNGIWA MIAKA 3

NA ANDREW CHALE.

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia Mwamuzi msaidizi namba mbili Kassim Safisha miaka mitatu (3) kwa kosa la kushindwa kutafsiri sheria ya kuotea katika iliyowakutanisha simba dhidi ya Namungo fc mechi hiyo iliyochezwa Januari 29,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa mchana wa leo na Afisa habari na Mawasiliano wa TFF,
Cliford Mario Ndimbo ilieleza kuwa, Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni namba 39 (1) (a) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Waamuzi.

Aidha, katika kikao hicho ilipitia mwenendo mingine na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya uamuzi ufuatao.

Ligi Kuu ya Vodacom, mechi namba 157: Azam FC 1 v Mtibwa FC 1-Mwamuzi Meshack Suda ameandikiwa barua ya kukumbushwa kufanya majukumu yake kwa umakini zaidi katika mechi iliyochezwa Januari 30,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Vile vile katika mchezo huo Kamishina Abdallah Zongo ameondolewa kwenye orodha ya Makamishina kwa kosa la kutoa taarifa yenye mapungufu.Adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni namba 40(1) kuhusu Udhibiti Kamishina
Mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside.

===

TFF WACHOMOA 'BETRI' KWA MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS NAMUNGO, AFUNGIWA MIAKA 3

NA ANDREW CHALE.

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia Mwamuzi msaidizi namba mbili Kassim Safisha miaka mitatu (3) kwa kosa la kushindwa kutafsiri sheria ya kuotea katika iliyowakutanisha simba dhidi ya Namungo fc mechi hiyo iliyochezwa Januari 29,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa mchana wa leo na Afisa habari na Mawasiliano wa TFF,
Cliford Mario Ndimbo ilieleza kuwa, Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni namba 39 (1) (a) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Waamuzi.

Aidha, katika kikao hicho ilipitia mwenendo mingine na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya uamuzi ufuatao.

Ligi Kuu ya Vodacom, mechi namba 157: Azam FC 1 v Mtibwa FC 1-Mwamuzi Meshack Suda ameandikiwa barua ya kukumbushwa kufanya majukumu yake kwa umakini zaidi katika mechi iliyochezwa Januari 30,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Vile vile katika mchezo huo Kamishina Abdallah Zongo ameondolewa kwenye orodha ya Makamishina kwa kosa la kutoa taarifa yenye mapungufu.Adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni namba 40(1) kuhusu Udhibiti Kamishina
Mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuwafungia siyo suluhisho na Wala hawaondoi tatizo kwa kuwafungia je wanao baki wanasaidiwaje kuweza kuhimili presha ya ligi. Wataisha wote kwa kufungiwa na mwishowe TFF watajifungia wenyewe
 
ALIYEMPA BAO KAGERE, AFUNGIWA MIAKA MITATU (3).
.
.
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) katika kikao chake cha Februari 03, 2020 ilipitia mwenendo na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya uamuzi ufuatao;
.
Mechi namba 150: Simba SC 3 v Namungo FC 2.
.
“Mwamuzi msaidizi namba mbili Kassim Safisha, amefungiwa miaka mitatu(3) kwa kosa la kushindwa kutafsiri sheria ya kuotea katika mechi hiyo.”
.
“Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni namba 39(1)(a) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Waamuzi.”
.
Source : @tanfootball

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakae Tena maana bado mechi na mwadui na ya juzi zidi ya Polisi Tanzania
 
Controversy kwenye mpira haziwez kuisha kirahisi rahisi huko ulaya pamoj ana technology kuwa kubwa pamoja na var still bado kuna maamuzi yenye utata, sidhani kama kuwafungia hawa waamuzi ni dawa sahihi ya kutibu hili janga tangu mwaka Jana waaamuzi wanafungiwa na hakuna kinachobadilika mi nadhani tff wanapaswa kwenda extra miles wafanye tafiti why haya makosa yamekua regular, na Kwa experience yangu ndogo waamuzi wanafungiwaga wakiboronga mechi za Simba na yanga
Hapa unagundua kuwa sio waamuzi peke Yao wanaoendeshwa na presha Bali hata bodi ya ligi na tff nao wanaendeshwa na presha that's why mara nyingi wanaadhibu marefa walioboronga wakichezesha mechi za team kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Mtu anasema eti umoja wa Waamuzi wamewaambia Simba kama wanaona maji yanazidi unga wajiongeze tu...goli ni goli mrai mpira uingie nyavuni.
 
Kesho Mnyama na JKT uwanjani, sasa ole wao wajifanye kucheza offside trick.
 
Dah tff hivi wanaakili kweli? Ile offside ya kagere ni ngumu sana kuiona yaani it wasnt a clear off side. Ile ya boko ndio ipo clear. Sasa adhabu ya aliyempa goli boko itakuaje? Na lile goli la kona itakuaje adhabu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside.

===

TFF WACHOMOA 'BETRI' KWA MWAMUZI ALIYECHEZESHA SIMBA VS NAMUNGO, AFUNGIWA MIAKA 3

NA ANDREW CHALE.

KAMATI ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imemfungia Mwamuzi msaidizi namba mbili Kassim Safisha miaka mitatu (3) kwa kosa la kushindwa kutafsiri sheria ya kuotea katika iliyowakutanisha simba dhidi ya Namungo fc mechi hiyo iliyochezwa Januari 29,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa mchana wa leo na Afisa habari na Mawasiliano wa TFF,
Cliford Mario Ndimbo ilieleza kuwa, Adhabu hiyo imetolewa kwa mujibu wa Kanuni namba 39 (1) (a) ya Ligi Kuu kuhusu Udhibiti wa Waamuzi.

Aidha, katika kikao hicho ilipitia mwenendo mingine na matukio mbalimbali ya Ligi na kufanya uamuzi ufuatao.

Ligi Kuu ya Vodacom, mechi namba 157: Azam FC 1 v Mtibwa FC 1-Mwamuzi Meshack Suda ameandikiwa barua ya kukumbushwa kufanya majukumu yake kwa umakini zaidi katika mechi iliyochezwa Januari 30,2020 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.

Vile vile katika mchezo huo Kamishina Abdallah Zongo ameondolewa kwenye orodha ya Makamishina kwa kosa la kutoa taarifa yenye mapungufu.Adhabu hii ni kwa kuzingatia Kanuni namba 40(1) kuhusu Udhibiti Kamishina
Mwisho.

Sent using Jamii Forums mobile app
hii ni janjajanja ya TFF tu kuiziba mdomo serikali sababu Namungo ni timu ya waziri mkuu...

Hapa solution ni kuvunja bodi ya ligi iliyojaa wahuni na wala rushwa...chama cha waamuzi kimejaa uozo pia...watafute solution

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mum naona suluisho tuazime waamuzi toka visiwani Zanzibar kwa mechi zote round ya pili zinahusu Yanga, Simba etc
hii ni janjajanja ya TFF tu kuiziba mdomo serikali sababu Namungo ni timu ya waziri mkuu...

Hapa solution ni kuvunja bodi ya ligi iliyojaa wahuni na wala rushwa...chama cha waamuzi kimejaa uozo pia...watafute solution

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hii ni aibu kila kwenye uchafu Simba yupo mnahonga mno mnapuliza dawa za kudhofisha wapinzani wenu inatia kinyaa mpaka kumhonga jezi raisi wa Fifa angalieni Takukuru yupo nyuma hao ndio Bodaboda sports club
 
Match ya Azam na Mtibwa ilikuwa fixed

How does a game become fixed and how does it win with all
fans watching a real game?

-The club managers make a secret deal and players agree to it.
-Everybody gets it's own fair share. The match might look like normal but, the players know to fix a match, they are professional players at the end of the day.
 
Back
Top Bottom