TFF imemfungia mwamuzi msaidizi mechi ya Simba vs Namungo miaka 3 kutoka na kushindwa kuitafsiri sheria ya offside

Wamemhonga Rais wafifa jezi?

Aisee we ni joke la mwaka,hata kama kuropoka umetia fora
Sasa hii ni aibu kila kwenye uchafu Simba yupo mnahonga mno mnapuliza dawa za kudhofisha wapinzani wenu inatia kinyaa mpaka kumhonga jezi raisi wa Fifa angalieni Takukuru yupo nyuma hao ndio Bodaboda sports club

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unataka kusema haya makampuni ya kubet yana mkono?maana kama ni ushindi wa kawaida azam na mtibwa wapo sawa tu hawawezi kuchukua ubingwa labda hapo kwenye fixing kwa ajili ya betting inaweza kuwa kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unataka kusema haya makampuni ya kubet yana mkono?maana kama ni ushindi wa kawaida azam na mtibwa wapo sawa tu hawawezi kuchukua ubingwa labda hapo kwenye fixing kwa ajili ya betting inaweza kuwa kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Makampuni ya betting yenyewe yanapiga vita Fixed matches, yakigundua match iko fixed wanaiondoa kwenye betting list ili wasije wakaliwa hela na waweka mikeka ambao wanazipa hizi fixed matches.

Kufix match ni biashara ila inafanywa kwa usiri mkubwa sana.

Makocha, wachezaji na marefa wanachonga deal ambalo kila mmoja atapata chake, wanakubaliana kuwa mechi imalizike kwa matokeo fulani.

Sasa hayo matokeo ndio yanauzwa(kwa hela kubwa) kwa wafanyabiashara ambao nao wanaenda kuwauzia watu wengine wanaobet ili wakibet wapatie kwenye bet zao.

Huu ni mtandao mkubwa sana wa kufix match.

Cha kuongezea:
Fixed matches huwa zinafanyika sana kwenye ligi ambazo hazina hela nyingi sio kama EPL, Bundesliga, Serie A n.k, zinafanyika kwenye viligi vidogo vidogo kama VPL yetu na mechi za kirafiki
 
Natumai watamwita pia refa wa jana kutafsi sheria ya goli kuwa kona.

Sent using Jamii Forums mobile app
Lile halikuwa goli...nyie Simba acheni kushikia bango tukio Hilo.,Simba imependelewa karibu mechi nane.nusu ya magoli ya kagere ni offside...Simba imeharibu kabisa ladha ya mpira wa Tanzania...mechi ya yanga na Simba ile haikuwa penalti..Wawa alipaswa kupewa redcard kwa kumkanyaga Nchimbi...Simba anahonga marefa na wachezaji wa timu pinzani...Yale aliyosema kabwili ni ya kweli na siyo uongo...upo wakati wachezaji wawili wa yanga walirekodi mazungumzo Kati yao na kiongozi mmoja wa Simba ..kiongozi huyo akawapigia magoti viongozi wa yanga wa wakati huo na suala likamalizwa kienyeji...msimu uliopita pia Simba ilitumia mamilioni ya fedha nje ya uwanja...
 
Mechi za yanga vs prison, yanga vs mtibwa kulikuwa na offside ambazo sio offside, prison na mtibwa walionewa kwa kuonyeshwa offside za uongo mbona hao waamuzi wa hizi mechi wameachwa?
 
Mechi za yanga vs prison, yanga vs mtibwa kulikuwa na offside ambazo sio offside, prison na mtibwa walionewa kwa kuonyeshwa offside za uongo mbona hao waamuzi wa hizi mechi wameachwa?
Inathibitisha uzushi wako kwenye mechi hizo ulizotaja
 
Kwa kosa la kutotafsiri Offside kwa mwamuzi miaka mitatu ni mingi sana..! Waangalie upya hii adhabu
 
Kama vp Tff na bod ya ligi wafanye mkakati wa kuchua marefa na wasaidizi wao kutoka nje kwa kipindi malumu kwa mfano Kama kutoka Kenya Uganda Rwanda hapa kwa est afrika na kwa nje kdg ili tuweze kuondokana na hi haza yani wazungu hawakosei hawataki kabisa marefa kutoka kwetu ktk mashindano makubwa hatujifunzi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu french ulichoandika ni point sana LAKINi labda hadhi ya NAMUNGO Fc ya Ruangwa na POLICE Tanzania zitaangaliwa kwa mitizamo tofauti ili kuamua huyo Refaree mwingine afungiwe miaka pungufu au mingi zaidi ya huyo wa kwanza.

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…