VOICE OF MTWARA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 2,987
- 1,954
nimesikitishwa sana na kitendo cha mwamuzi wa mechi hiyo kwa kitendo chake cha kumaliza mpira wakati mshambuliaji wa MGAMBO yuko pekeyake mbele ya kipa wa AZAM na uwezekano wa mshambuliaji yule kufunga ni asilimia 98.
kama kweli TFF wana dhamira ya dhati ya kuendeleza soka la Tanzania basi wamwadhibu mwamuzi huyu.
kama kweli TFF wana dhamira ya dhati ya kuendeleza soka la Tanzania basi wamwadhibu mwamuzi huyu.