TFF inajua sana 'kuidhalilisha' na 'kuisanifu' klabu moja kubwa na kongwe mno nchini Tanzania

TFF inajua sana 'kuidhalilisha' na 'kuisanifu' klabu moja kubwa na kongwe mno nchini Tanzania

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kuna muda ilitoa Maamuzi (Taarifa) fulani kuwa Wao ndiyo wameongoza sijui kwa kujaza Watu Uwanjani na kama kawaida yao Washamba na Mashabiki zao 'Oya Oya' wengi 'Wakashangilia' Mwezi mzima utadhani ndiyo wamebeba Kombe la VPL.

Hatimaye leo ndiyo TFF katika Utoaji wa Tuzo zake imeamua kuwafanyia U-turn ya aina yake ambapo 98% ya Tuzo zimeenda kwa Timu moja kubwa, Kongwe na iliyobarikiwa zaidi na mwenyezi Mungu ya Simba SC huku 'Wapayukaji FC' wakitoka patupu na klabu yao ya kike kuwa ya pili mbele ya Mabingwa Klabu ya kike ya Simba SC.

TFF tafadhali siku nyingine msirudie tena udhalilishaji huu na muwe basi mnawaonea hata Huruma. Yaani kelele nyingi za kujisifu Mitandaoni, Maredioni, Magazetini, Vibanda Umiza na Mitaani halafu Tuzo hamna (kiduchu) tu.

Hongereni 'Simba SC' kwa tuzo nyingi.
 
Genta acha kabisa kufananisha timu inayowakilisha nchi na genge la wahuni

Msemaji wao mwenyewe alishawaambia kuwa hilo genge wenye akili ni watu wawili tu JK na Sunday Manara 😀, waliobaki wote ni tikiti maji
 
Kuna muda ilitoa Maamuzi (Taarifa) fulani kuwa Wao ndiyo wameongoza sijui kwa kujaza Watu Uwanjani na kama kawaida yao Washamba na Mashabiki zao 'Oya Oya' wengi 'Wakashangilia' Mwezi mzima utadhani ndiyo wamebeba Kombe la VPL.

Hatimaye leo ndiyo TFF katika Utoaji wa Tuzo zake imeamua kuwafanyia U-turn ya aina yake ambapo 98% ya Tuzo zimeenda kwa Timu moja kubwa, Kongwe na iliyobarikiwa zaidi na mwenyezi Mungu ya Simba SC huku 'Wapayukaji FC' wakitoka patupu na klabu yao ya kike kuwa ya pili mbele ya Mabingwa Klabu ya kike ya Simba SC.

TFF tafadhali siku nyingine msirudie tena udhalilishaji huu na muwe basi mnawaonea hata Huruma. Yaani kelele nyingi za kujisifu Mitandaoni, Maredioni, Magazetini, Vibanda Umiza na Mitaani halafu Tuzo hamna (kiduchu) tu.

Hongereni 'Simba SC' kwa tuzo nyingi.
Nyinyi pigeni tu kelele! Mwezi wa 12 tunawapiga tena! Mwakani tunawapiga tena! Na mwisho wa msimu tunanyanyua makwapa.

Ngao ya jamii ilishatoa mwelekeo wa Bingwa msimu ujao. Kilichopo mbele yetu kwa sasa ni kutandika tu kima yeyote yule atakaye tokea mbele yetu!
 
Kuna muda ilitoa Maamuzi (Taarifa) fulani kuwa Wao ndiyo wameongoza sijui kwa kujaza Watu Uwanjani na kama kawaida yao Washamba na Mashabiki zao 'Oya Oya' wengi 'Wakashangilia' Mwezi mzima utadhani ndiyo wamebeba Kombe la VPL.

Hatimaye leo ndiyo TFF katika Utoaji wa Tuzo zake imeamua kuwafanyia U-turn ya aina yake ambapo 98% ya Tuzo zimeenda kwa Timu moja kubwa, Kongwe na iliyobarikiwa zaidi na mwenyezi Mungu ya Simba SC huku 'Wapayukaji FC' wakitoka patupu na klabu yao ya kike kuwa ya pili mbele ya Mabingwa Klabu ya kike ya Simba SC.

TFF tafadhali siku nyingine msirudie tena udhalilishaji huu na muwe basi mnawaonea hata Huruma. Yaani kelele nyingi za kujisifu Mitandaoni, Maredioni, Magazetini, Vibanda Umiza na Mitaani halafu Tuzo hamna (kiduchu) tu.

Hongereni 'Simba SC' kwa tuzo nyingi.
Sawa Mwijaku
 
Back
Top Bottom