Bujoro
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,115
- 2,231
Habar za leo viongozi wamgu, kabla ya yote naeasalimu wote...
Na baada ya Salaam naomba nijielekeze moja kwa moja hadi kwenye mada husika kama ambavo kicha cha habar kinasomeka jmn watanzania wenzangu hivi mnamfahamu mdhamini wa ligi yetu pendwa kuu ya Tanzania yaani TPL!?? Maana mwka jana ligi imeisha bila ya mdhamini sasa hii sio haki maana vilabu vipata wakat mgumu kuniendesha tunona baadhi ya timu zikipambana sana hata kupata nauli ya kusafuri kwenda kucheza mechi za ligi kuu sasa haya mambo hatutaki yatokeee tena msimu huu wa 2019 na 20
Tff walijinasibu kuwa mpaka ligi inaanza watakuwa wamemtangaza mdhamini na leo ni tar 21 maana yake bado siku 1 ligi kuu kuanza na wajamtangaza, maana yake ni nn au kuna shida au tatizo gani mpaka mdhamini afanywe kuwa siri kubwa na nzito kama vile ni issues za kuuza madawa ya kurevya??
Au labda walishamtangaza mimi tu ndo sina Habari?? Naombeni mnijuze jmn na kama ni bado je tff wanatutendea haki wa Tanzania na mpira wa miguu Nchini!?? Waambieeni waache mazoea now sisi sio wajinga kiasi hicho tumepevuka sasa wawe serous kwenye mambo serious kama haya ya Kitaifa...Tff inabidi wajitafakari sana sio poa hata robo..tunataka mpira wa nchi upige hatua sio kurudi nyumba makitaimu kila mwaka Tpl mi brand kubwa sio ya kukosa mdhamini mpaka sasa.. Naomba kuwasilisha.
Na baada ya Salaam naomba nijielekeze moja kwa moja hadi kwenye mada husika kama ambavo kicha cha habar kinasomeka jmn watanzania wenzangu hivi mnamfahamu mdhamini wa ligi yetu pendwa kuu ya Tanzania yaani TPL!?? Maana mwka jana ligi imeisha bila ya mdhamini sasa hii sio haki maana vilabu vipata wakat mgumu kuniendesha tunona baadhi ya timu zikipambana sana hata kupata nauli ya kusafuri kwenda kucheza mechi za ligi kuu sasa haya mambo hatutaki yatokeee tena msimu huu wa 2019 na 20
Tff walijinasibu kuwa mpaka ligi inaanza watakuwa wamemtangaza mdhamini na leo ni tar 21 maana yake bado siku 1 ligi kuu kuanza na wajamtangaza, maana yake ni nn au kuna shida au tatizo gani mpaka mdhamini afanywe kuwa siri kubwa na nzito kama vile ni issues za kuuza madawa ya kurevya??
Au labda walishamtangaza mimi tu ndo sina Habari?? Naombeni mnijuze jmn na kama ni bado je tff wanatutendea haki wa Tanzania na mpira wa miguu Nchini!?? Waambieeni waache mazoea now sisi sio wajinga kiasi hicho tumepevuka sasa wawe serous kwenye mambo serious kama haya ya Kitaifa...Tff inabidi wajitafakari sana sio poa hata robo..tunataka mpira wa nchi upige hatua sio kurudi nyumba makitaimu kila mwaka Tpl mi brand kubwa sio ya kukosa mdhamini mpaka sasa.. Naomba kuwasilisha.