Richard spencer
JF-Expert Member
- Feb 22, 2021
- 1,225
- 1,993
KUlikuwa na haja ya kuniambia nina kichaa ili kufikisha ujumbe wako?Kwamba Senegal Hana mpira mzuri
Congo Hana mpira mzuri
Cape Verde imekuwa timu ya Kwanza kutinga hatua ya mtoano na yenyewe Haina mpira mzuri.
Una kichaa wewe