OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Yes Simba ndio amekusanya hizo points.Nani kakusanya hizo points Simba sports
🤣🤣🤣🤣Ngoja kuna viumbe wa mtaa jiran hapa wakija na hesabu zao hzo point zilivyopatikana utaelewa kazi. utaskia mara point sio za simba peke yake ata sisi(wao) tulichangia enzi zile za FAT sema vp kikubwa kulinda hizi nafasi yasije kuwa kama ya nyuma mara tumepata timu nne badae tunapigwa tena chini
mwisho wa kunukuu"nafasi hizo zimepatikana baada ya Simba SC kukusanya alama nyingi zaidi kwenye viwango vya CAF"
Hizi alama zilizoongezeka ni Simba pekee ndio amechangia, sasa sijui hawa TFF wanaogopa nini kuwapa Simba Credits zaoView attachment 1825319
TFF inasema timu zimeongezeka baada ya "Tanzania" kukusanya alama nyingi. Ni sawa, ila kwani kuna ubaya gani mkisema baada ya Simba Sc Lunyasi timu tishio Afrika na mabingwa watarajiwa wa CAF,kukusanya alama nyingi.
Naiagiza Serikali itoe tamko kuipongeza Simba Sc