TFF iteni waandishi wa habari muombe radhi kwa mlichokifanya

TFF iteni waandishi wa habari muombe radhi kwa mlichokifanya

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
WATANZANIA
Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya

Basi NENDEN kwenye press
Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu

Hakuna aliefurahia hata mmojaa

Tulitarajia pamoja na mliyoyafanya mngeita waandishi WA habari Muombe radhi

Msiwe kimya kiasi hicho KUSHINDWA KUOMBA radhi
 
Tff nani atawasikiliza bora wakae kimya tu hakuna kitu wanajua zaidi ya kufungia waandishi wa habari na kupiga faini wachezaji..
 
WATANZANIA
Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya

Basi NENDEN kwenye press
Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu

Hakuna aliefurahia hata mmojaa

Tulitarajia pamoja na mliyoyafanya mngeita waandishi WA habari Muombe radhi

Msiwe kimya kiasi hicho KUSHINDWA KUOMBA radhi
Hivi nyie Utopolo nyuma mwiko unaleta shida? How comes TFF iombe radhi, kwa lipi?

Yanga ndio wanatakiwa kuomba radhi kwa mabaunsa wao kuzuia Simba na pia kupeleka timu uwanjani kinyume cha maamuzi halali ya TPBL
 
WATANZANIA
Pamoja na kushikwa na taharuki ya mliyoyafanya

Basi NENDEN kwenye press
Ombeen radhi kwa wananchi wote kwa upuuzi wenu

Hakuna aliefurahia hata mmojaa

Tulitarajia pamoja na mliyoyafanya mngeita waandishi WA habari Muombe radhi

Msiwe kimya kiasi hicho KUSHINDWA KUOMBA radhi
Hawatoshi kwa kila namna kwakifupi wako kama sanamu. (figure heads) kwahiyo usitegemee kuombwa msamaha Leo ni tarehe 11 -03-2025 siku 3 zimeshapita, TFF inaendeshwa kisiasa hadi hapo Jamii mafuvu yatakapo rudishiwa akili

TFF are inhuman they will not apologize
 
Back
Top Bottom